Kwanini tunapenda kutuma pesa (kwa njia ya simu) kuliko benki ambazo huwa na gharama nafuu?

Kutoka nyumbani hadi kuifata ATM kuna nauli ,Let's say 800 na kutoa pesa kwenye ATM ni 1800 hadi 2000 kwa 350,000(i&M) hadi 400,000(CRDB,Stanbic etc) ,Kutoka Nyumbani hadi ATM kuna kupoteza muda wa karibu saa nzima kwenda na kurudi ,pia risk ya kupanda gari ni shida pia...Yaani hapo cost ni 2600 hadi 2800 ,sasa gharama ya kutoa lakini nne kwa tigo pesa/airtel money/m-pesa ni elfu 7.

Kwahiyo hapo unaokoa Tsh 4000 nzima.
 
Pia, mawakala wa Banks km CRDB/ NMB wapo kila kona. Pia siku hizi kwenye sheli nyingi kuna ATMs zenye VISA.
 
Hii sio hypothesis, imeshakuwa proven kwa tafiti zilizofanywa na wengine wanaotafiti kuhusu poor economics.

Iko hivi ni rahisi kujua kuwa gharama za kutuma na kutoa fedha kwa kutumia simu, iwe M-pesa, Tigo pesa nk ni gharama zaidi kuliko kutumia benki i.e ATM ambazo zimetapakaa nchini.

Kwa maeneo kama Dar, ATM zimetapakaa maeneo mbalimbali na zaidi benki nyingi zinatumia mitandao mikubwa kama VISA, MASTARCARD, MAESTRO nk ambayo haikupi ulazima wa wewe kutafuta benki yako ili kutoa fehda.

Mbali na hayo bado watu wamekuwa wakitumia zaidi mitandao ya simu ambayo ina gharama kubwa za huduma zao kuliko benki, Je shida iko wapi.

Wewe kama mdau unayetumia simu kufanya miamala, Je unadhani ni kipi kinakufanya ukae humo ukizingatia gharama ni kubwa?

Nadhani watu wa benki wanaotengeneza mifumo ya masoko wanaweza kuwa na njia nzuri ya kuweza kujua namna gani ya kuwanasa watu ambao wanatumia simu badala ya benki ambazo zina gharama nafuu.

Hypothesis: Watu hawatumii benki kwa kuwa benki zinaonekana kama ni za watu fulani wenye hadhi na fedha nyingi (It can be tested)

Au ni kuwa watu huwa hawana muda wa kujua kuhusu gharama za masuala ya kifedha.

Signed

Oedipus
Ni ujinga tu ndio umetamalaki
 
Hii sio hypothesis, imeshakuwa proven kwa tafiti zilizofanywa na wengine wanaotafiti kuhusu poor economics.

Iko hivi ni rahisi kujua kuwa gharama za kutuma na kutoa fedha kwa kutumia simu, iwe M-pesa, Tigo pesa nk ni gharama zaidi kuliko kutumia benki i.e ATM ambazo zimetapakaa nchini.

Kwa maeneo kama Dar, ATM zimetapakaa maeneo mbalimbali na zaidi benki nyingi zinatumia mitandao mikubwa kama VISA, MASTARCARD, MAESTRO nk ambayo haikupi ulazima wa wewe kutafuta benki yako ili kutoa fehda.

Mbali na hayo bado watu wamekuwa wakitumia zaidi mitandao ya simu ambayo ina gharama kubwa za huduma zao kuliko benki, Je shida iko wapi.

Wewe kama mdau unayetumia simu kufanya miamala, Je unadhani ni kipi kinakufanya ukae humo ukizingatia gharama ni kubwa?

Nadhani watu wa benki wanaotengeneza mifumo ya masoko wanaweza kuwa na njia nzuri ya kuweza kujua namna gani ya kuwanasa watu ambao wanatumia simu badala ya benki ambazo zina gharama nafuu.

Hypothesis: Watu hawatumii benki kwa kuwa benki zinaonekana kama ni za watu fulani wenye hadhi na fedha nyingi (It can be tested)

Au ni kuwa watu huwa hawana muda wa kujua kuhusu gharama za masuala ya kifedha.

Signed

Oedipus

Mkuu viraisi vina ghalimu,mimi niende bank kutuma pesa au niende ATM kupanga foleni wakati njia raisi ipo mkuu.
 
Hapa nilipo kuna atm moja tu ambayo nikitembea natumia kama dakika nane ila mawakala naweza kuwafikia ndani ya dakika 2 tu, benki inabidi nitembee kama dakika 20. kwanini nisiwatumie mawakala aisee.

Kuna muda nahitaji kutoa tu buku jero, huko kwenye atm naskia hela ya chini ni buku 5 kama sijakosea, kwanini nisiwatumie mawakala.

Kufungua account ya benki hatua nyingi na gharama ni kubwa, huku usajili ni bure kabisa.

ni rahisi na nafuu kununua muda wa maongezi kuoitia mpesa, tigo pesa, n.k mfano kwa halotel kuna punguzo ukinunua kifurushi kwa halo pesa
 
Hakuna yenye nafuu wote wezi tu


W
A
N
A vuna
W asichopanda. Kwa hio
Ha
Ku
Na mwizi mdogo wala mkubwa
 
Mi sipendi kabisa kutuma pesa kwa simu
.... sababu hauzingatii muda!!!!!, sisi wengine accounts zetu zimefungwa sababu hatuna muda wa kwenda bank.. mambo yote chap chap kwenye simu... @ wajasiriamali wa ukweli.
 
kwanza mimi nawalaumu watu wa mabenki.
Tariffs zao wamezificha mno. Nawashauri wangekuwa wanaweka na gharama waprint za kutuma na kutoa hela angalau wabandike katika Atm zao. Hii itapelekea urahisi mtu akifika pale anajua kumbe haina haja ya kutoa pesa kisha anaenda kwa wakala wa mitandao ya simu kutuma. Hii ni specific kwa wanaotumia Atm. Unakuta unataka kumtumia mtu shiling 10,000 sasa hujui makato ya kuamisha kwenda another bank account wala kwenda mitabdao ya simu.

so unakuta mtu anakua ana mashaka kwamba bora nitoe hii 10000 kisha nikaweke kweny sim yangu kisha nimrushie lakin ingekua wanaweka Tariffs zao wala isingekua shida unaingiza tu Atm unahamishia sehem huku ukijua viwango vya makato wanakwama sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili la kusema watu wengi hudhani kuwa benki ni kwa ajili ya watu fulani ni sahihi kabisa. Ndio maana watu wengi hawana account za bank. Lakini watu hao wengi wasio na bank accounts wana miliki simu na wanapokea na kutuma fedha kupitia accounts za simu.

Iko hivi, watu wengi hawana taarifa sahihi juu ya matumizi ya accounts za bank. Kuna rafiki zangu siku moja walikua wanang'ang'ania kuwa wataendelea kutumia CRDB kwa sababu ipo kila mahali...mimi nikawaambia sitaitumia sababu muda mwingi naishi Dar es Salaam. Je, ukienda mkoani? Nikawajibu, ni mara ngapi kwa mwaka naenda mikoani? Na nikienda hata robo mwaka haifiki narudi hapa hapa. Zaidi ntakaa week 2 tena za likizo. Kuna bank kuhamisha pesa toka bank kupeleka Tigo/voda ni bure ila kila mwisho wa mwezi unakatwa sh 250/- hata kama wamepandisha siku hizi, basi tuseme 500/- bado ni nafuu sana.

Lakini kwa nini utumie simu? Wakati kuna visa?
Kuna bank kutoa kwa visa unakatwa sh 3,000 bila kujali kiasi unachotoa. Wakati tigo kutoa laki 2 ni elfu 5. Kuna kipindi mzee alikua anaumwa kalazwa hospitali, na mimi ndio nilikua caretaker. Kuna gharama kule hospitali haziko kwenye bima, sasa ndugu na jamaa wakawa wanataka wanitumie pesa kwa simu, haki nakwambia niliwapa account yangu ya bank. Mtu akihoji niende kwa bank muda huu sijui bla bla namwambia nenda kwa wakala niwekee juat like unavyoenda kuweka tigopesa.
Ilisave sana gharama za kutolea pesa. Maana nikienda ATM navuta laki 2 mpaka 4 kwa buku wakati tigopesa ningetakiwa niwaachie elfu 10 hapo.

Cha msingi ni taarifa.
elimu hii ndio mim naitaka.mkuu em nijulishe ni benk gan hio kutuma wanakata. hivyo.mana mabenk meng wameficha kweli makato yao.yan unakua una guess tu sijui hapa wanakata kias gan kutoa,kuweka,kuhamisha.
ushauri.watuwekee viwango vyao vyote makato,kuweka kutoa.sio kuyatafutaaa weee kwa toch yawe hadharan tu kwenye user interface rahisi tu like ukifika Atm unakuta kabisa wamebandika unajua unajihukum vip

Sent using Jamii Forums mobile app
 
labda niseme confidence coz mtu anaona kupeleke ela ndogo benki ni aibuu au niya watu flani v.i.p akatii ni y wananchi wote pesa yko ndo inamueka yule mfanyakazi af watu wana angalia urahisi uko kwenye mitandao kama mpesa tigo pesa n.k kwaiyo wanakua wana puuzia benki ilingalii ndio kwenye nafuuu
 
Back
Top Bottom