Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
- Thread starter
- #41
Waheshimiwa wabunge wangetusaidia sana kuhakikisha hizi hospitali zetu zinaboreshwa. Lakini inasemekana na wao wako entitled kutibiwa nje !!
that is exactly my point.. kwanza tuwakatalie hiyo "haki" waliyojipa halafu tuone watafanya nini wakiumwa.. haiwezekani hospitali ziwe mahali pa kupumzikia tu halafu hao wanatimkia SA, India, au kwingine huko.
Halafu katika wazimu wa fikra zao wanakaa na kutuambia wana mpango wa kujenga barabara za kwenda mbinguni!