Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Huduma zetu za afya ni hafifu ... kama wale wanaositahiri kuziboresha huduma za afya hapa kwetu kujenga mahospitali makubwa kwa ajili ya huduma mbalimbali wanakimbilia India sisi tufanyeje tena ?
Ha ha haa! Umenikumbusaha jana Nilikuwa nacheki Taarifa ya Habari nikaona Wanafunzi Shule ya Musoma Sekondari wanaharisha damu kutokana na Mazingira Mabovu yau ukosekanaji wa maji, Vyoo nakadhalika! Wakaonyesha vile vyoo kwa kweli niliumia sana