GE2025 Kwanini Tume ya Uchaguzi imeficha taarifa za wapiga kura?

GE2025 Kwanini Tume ya Uchaguzi imeficha taarifa za wapiga kura?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,551
Reaction score
20,346
GT
Ni maajabu hawa wanaojiita tume huru ya uchaguzi huku majina ya wapiga kura yamefichwa

Mi najiuliza kwa nini wanahitaji namba ya kadi ya kupiga kura ili niweze kuona jina langu?

Hii ina maana kwamba hakuna mtu yoyote anaweza kuona majina ya wapiga kura isipokuwa tume yenyewe ah aha ah 😅 😄 😆 na hata wewe uliyejiandikisha utaona jina lako tu.
Screenshot_20250823_193100_Chrome.jpg
 
Hapo hapo unaambiwa eti kila kitu ni manual😂😂😂

Hapo juu wameandika MFUMO WA KUHAKIKI… 😂😂😂

It means kuna MFUMO mwingine somewhere wenye LIWAYA kwa ajili ya kuchakata (sorry KUCHAKACHUA!!!) 😂😂😂
 
GT
Ni maajabu hawa wanaojiita tume huru ya uchaguzi huku majina ya wapiga kura yamefichwa

Mi najiuliza kwa nini wanahitaji namba ya kadi ya kupiga kura ili niweze kuona jina langu?

Hii ina maana kwamba hakuna mtu yoyote anaweza kuona majina ya wapiga kura isipokuwa tume yenyewe ah aha ah 😅 😄 😆 na hata wewe uliyejiandikisha utaona jina lako tu.
View attachment 3450371
Rejea ufunuo wa Balozi Pole Pole... ccm pekee ndo wanaweza kuyaona hayo majina shida.
 
GT
Ni maajabu hawa wanaojiita tume huru ya uchaguzi huku majina ya wapiga kura yamefichwa

Mi najiuliza kwa nini wanahitaji namba ya kadi ya kupiga kura ili niweze kuona jina langu?

Hii ina maana kwamba hakuna mtu yoyote anaweza kuona majina ya wapiga kura isipokuwa tume yenyewe ah aha ah 😅 😄 😆 na hata wewe uliyejiandikisha utaona jina lako tu.
View attachment 3450371
Swali fikirishi kwanini uhakiki namba kwenye simu wakati hizo number ziko kwenye kituo chako cha kupigia kura huko mtaani
 
Polisi wawabane CCM wawaongeze posho na mishahara iwe minono,kuliko kutumika tu halafu wanaofaidika ni viongozi wa CCM na polisi wa ngazi za juu wanaotoa oda tu.
 
Back
Top Bottom