uzio usio onekana
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 776
- 2,404
Na ilhali ameifanyia mengi mazuri Marekani na Duniani kwa ujumla.
Kama ilivyo kwa obama ukiachana ubaya wake na mazuri yake yalikuwepo lakini bwana yule tuzo kwake zilikuwa zinamiminika kila siku.
Kama Trump angekuwa ni mwafrika watu wangesema ni ubaguzi wa rangi ila kwa sababu Trump ni mzungu hiyo inaonekana ni kawaida tu.
Ukisoma media nyingi Trump analaumiwa zaidi kuliko vile ambavyo inafaa kushukuliwa.
Wajuzi wa mambo naomba mnipe utofauti wa Trump na Obama hadi yeye Obama tuzo zilikuwa zinammiminikia kila siku.
Kama ilivyo kwa obama ukiachana ubaya wake na mazuri yake yalikuwepo lakini bwana yule tuzo kwake zilikuwa zinamiminika kila siku.
Kama Trump angekuwa ni mwafrika watu wangesema ni ubaguzi wa rangi ila kwa sababu Trump ni mzungu hiyo inaonekana ni kawaida tu.
Ukisoma media nyingi Trump analaumiwa zaidi kuliko vile ambavyo inafaa kushukuliwa.
Wajuzi wa mambo naomba mnipe utofauti wa Trump na Obama hadi yeye Obama tuzo zilikuwa zinammiminikia kila siku.