Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,618
- 31,137
alifanyaje alipinga ushoga ?! nakama alipinga aliupinga wapi ?! Alisema nini ?!naje huo ushoga upo ama haupo ?!Ndo alishafanya sasa hilo kosa kubwa na ndo linalomgarimu hadi sasa.
Mungu ajaalie DT ashinde ushindui wakishindo azidi kuimaliza states maana akija kiongozi anaejielewa mambo yataenda kombo