Tmainitvp
Member
- Mar 25, 2019
- 64
- 119
Kwanza nianze kwa pongezi safi kabsa kwa mshindi wa 46 wa kiti cha urais wa Marekani Joe Biden wa Democratic party, si jambo la mchezo mchezo kuingia Ikulu kwa nchi yenye nguvu duniani kama Marekani yenye demokrasia kwa 77%.
Wengi wetu hasa waafrika tulitegemea na tulikua tukisubiri mabadiliko ya kiti hicho cha urais kutokana na baadhi ya kauli mbaya na chafu zilizo kuwa zikitolewa na rais alie maliza muda wake Donald Trump. kwa mfano "Africa ni kama tundu la choo" nk.
Kulikua na ubaguzi wa rangi kwa kiasi kikubwa katika nchi ya Marekani kiasi cha waafrika waishio huko 'diaspora' kitoridhishwa na mwenendo wa rais Donald Trump, leo tumepata rais mwingine, at least kuna mabadliko madogo huenda yakajitokeza.
Lakini tutajidanganya mpaka lini, kamwe tusije kutegemea mafanikio ya mwafrika yakaletwa na mzungu, hata siku moja. tutambue tu kua wale wote( Biden na Trump) ni wamarekani weupe ingawa mmoja wao ana makamu mwenye asili ya weusi, ubaguzi utabaki pale pale ita kwa namna tofauti
Wote wale ni nyoka, tena sumu kwa bara la africa, unyonyaji utabaki pale pale, ukandamizaji na ukoloni maomboleo, wote lengo lao ni kuifanya America kua nchi yenye nguvu zaidi ukizingatia ushindani uliopo kati ya Marekani na nchi kama China na Korea.
Huwezi waahidi wamarekani barabara wala umeme, sijui maji , zaidi watataka kua taifa kubwa zaidi, watakuaje taifa kubwa?
kwa kuwatawala Uingereza?!, Urus au Ujeruman?, that is a big NO,
tusitegemee makubwa kutoka kwa Biden Africa
Asanteni
Wengi wetu hasa waafrika tulitegemea na tulikua tukisubiri mabadiliko ya kiti hicho cha urais kutokana na baadhi ya kauli mbaya na chafu zilizo kuwa zikitolewa na rais alie maliza muda wake Donald Trump. kwa mfano "Africa ni kama tundu la choo" nk.
Kulikua na ubaguzi wa rangi kwa kiasi kikubwa katika nchi ya Marekani kiasi cha waafrika waishio huko 'diaspora' kitoridhishwa na mwenendo wa rais Donald Trump, leo tumepata rais mwingine, at least kuna mabadliko madogo huenda yakajitokeza.
Lakini tutajidanganya mpaka lini, kamwe tusije kutegemea mafanikio ya mwafrika yakaletwa na mzungu, hata siku moja. tutambue tu kua wale wote( Biden na Trump) ni wamarekani weupe ingawa mmoja wao ana makamu mwenye asili ya weusi, ubaguzi utabaki pale pale ita kwa namna tofauti
Wote wale ni nyoka, tena sumu kwa bara la africa, unyonyaji utabaki pale pale, ukandamizaji na ukoloni maomboleo, wote lengo lao ni kuifanya America kua nchi yenye nguvu zaidi ukizingatia ushindani uliopo kati ya Marekani na nchi kama China na Korea.
Huwezi waahidi wamarekani barabara wala umeme, sijui maji , zaidi watataka kua taifa kubwa zaidi, watakuaje taifa kubwa?
kwa kuwatawala Uingereza?!, Urus au Ujeruman?, that is a big NO,
tusitegemee makubwa kutoka kwa Biden Africa
Asanteni