Alikuwa akiwapa Wsisrael kila wanachokitaka, including Mji wa Jerusaem, kufunga ubalozi wa Palestine Marekani, Kuhamishia ubalozi wa Marekani Jerusalem, Aliwapa Waisrael Golan heights. Kwa hiyo strategically Waisrsel waliona wasimsumbue Trump maana anacheza mlemle kwenye plan zao