Kwanini transaction fee kati ya mabenki na mitandao ya simu ni kubwa sana?

Kwanini transaction fee kati ya mabenki na mitandao ya simu ni kubwa sana?

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
15,849
Reaction score
36,141
Wakuu hawa watu ni kama wana ugomvi, ukitaka kutuma hela kwenda bank au bank kuja kwenye simu lazima ushtuke, gharama zake hazina tofauti na kutoa hela kwa wakala i.e Mpesa!

Kwa mfano mtu anayetuma mil 1 anakatwa mpka 11k wakati hela hiyo hiyo kutoka bank moja kwenda nyingine wanakata buku tu, niliwahi tuma 7m+ toka equity kwenda crdb na wakakata buku mpka nilihisi wamekosea!

Je hawa watu wamewekeana sanctions? Waliojaribu kutumia kadi ya nmb kwenda lipa namba ya voda je fees zikoje?

Mytake; cashless economy hapa bongo bado ina safari ndefu sana!
 
Mtihani kweli Mimi Pana siku Ruaha ndani ndani huko ukitaka ATM ili ukatwe elf tatu kutoa hela ni lazima uende Mahenge mjini kwenda na kurudi nauli ni elf 20 kwa boda au elf 7 kwa mshikaki sawa na elf 14,nikicheck gharama za boda na kuhamisha kwa simu tofauti ni elf 3 nikawa sina jinsi kuhamisha kwenye simu network yenyewe niliifata juu ya mlima kule mtandao ni mmoja tu halotel halopesa kupanda mlima nusu saa,kwenda na kurudi kwenye ATM Mahenge masaa matatu.
Kwa uharaka wa pesa nikawa sina option ya kuchoma zaidi ya elf 20 ili kupata pesa kwa process mbili.
Yaani kuhamisha pesa toka bank kwenda simu wakalamba,
Kutoa pesa kwa wakala wakalamba elf sita.
Watumishi wa vijijini wanapata sana tabu kwenye ishu za miamala.
 
Wakuu hawa watu ni kama wana ugomvi, ukitaka kutuma hela kwenda bank au bank kuja kwenye simu lazima ushtuke, gharama zake hazina tofauti na kutoa hela kwa wakala i.e Mpesa!

Kwa mfano mtu anayetuma mil 1 anakatwa mpka 11k wakati hela hiyo hiyo kutoka bank moja kwenda nyingine wanakata buku tu, niliwahi tuma 7m+ toka equity kwenda crdb na wakakata buku mpka nilihisi wamekosea!

Je hawa watu wamewekeana sanctions? Waliojaribu kutumia kadi ya nmb kwenda lipa namba ya voda je fees zikoje?

Mytake; cashless economy hapa bongo bado ina safari ndefu sana!
Wanakukataza usitumie njia hiyo tumia kwa dharula tu
 
Wakuu hawa watu ni kama wana ugomvi, ukitaka kutuma hela kwenda bank au bank kuja kwenye simu lazima ushtuke, gharama zake hazina tofauti na kutoa hela kwa wakala i.e Mpesa!

Kwa mfano mtu anayetuma mil 1 anakatwa mpka 11k wakati hela hiyo hiyo kutoka bank moja kwenda nyingine wanakata buku tu, niliwahi tuma 7m+ toka equity kwenda crdb na wakakata buku mpka nilihisi wamekosea!

Je hawa watu wamewekeana sanctions? Waliojaribu kutumia kadi ya nmb kwenda lipa namba ya voda je fees zikoje?

Mytake; cashless economy hapa bongo bado ina safari ndefu sana!
Kuna njia rahisi sana ya kutuma na kupokea pesa toka mtandao ya simu
 
Mtihani kweli Mimi Pana siku Ruaha ndani ndani huko ukitaka ATM ili ukatwe elf tatu kutoa hela ni lazima uende Mahenge mjini kwenda na kurudi nauli ni elf 20 kwa boda au elf 7 kwa mshikaki sawa na elf 14,nikicheck gharama za boda na kuhamisha kwa simu tofauti ni elf 3 nikawa sina jinsi kuhamisha kwenye simu network yenyewe niliifata juu ya mlima kule mtandao ni mmoja tu halotel halopesa kupanda mlima nusu saa,kwenda na kurudi kwenye ATM Mahenge masaa matatu.
Kwa uharaka wa pesa nikawa sina option ya kuchoma zaidi ya elf 20 ili kupata pesa kwa process mbili.
Yaani kuhamisha pesa toka bank kwenda simu wakalamba,
Kutoa pesa kwa wakala wakalamba elf sita.
Watumishi wa vijijini wanapata sana tabu kwenye ishu za miamala.
Ni mtihani ni kama wanafanya kukomoa watu!
 
Wakuu hawa watu ni kama wana ugomvi, ukitaka kutuma hela kwenda bank au bank kuja kwenye simu lazima ushtuke, gharama zake hazina tofauti na kutoa hela kwa wakala i.e Mpesa!

Kwa mfano mtu anayetuma mil 1 anakatwa mpka 11k wakati hela hiyo hiyo kutoka bank moja kwenda nyingine wanakata buku tu, niliwahi tuma 7m+ toka equity kwenda crdb na wakakata buku mpka nilihisi wamekosea!

Je hawa watu wamewekeana sanctions? Waliojaribu kutumia kadi ya nmb kwenda lipa namba ya voda je fees zikoje?

Mytake; cashless economy hapa bongo bado ina safari ndefu sana!
Mama mama mama!!!
 
Hizi gharama za miamala ni kwakuwa sisi ni makondoo tu, ilitakiwa tugome wakati wanaiweka.. gharama ni kubwa sana hata kwa kutumia ATM.
Hebu niambie kwanini kuwe na gharama kwenye kutumia ATM wakati una akaunti benki hiyo hiyo? ATM inasaidia kupunguza gharama ya benki.
Naweza elewa gharama kama unatumia ATM ya benki tofauti na uliyo na akaunti. Gharama za miamala ni kubwa sana.
Halafu kuna tume ya walaji sijui, wamelala tu na vitambi vyao.
 
Back
Top Bottom