wolverineGG
JF-Expert Member
- Feb 13, 2025
- 1,363
- 2,376
Habari wakuu, moja kwa moja kwenye mada. Kwanza naomba mtambue sitaki kuleta mtafaluku kwenye dini zenu, nataka kujua kama hili gape la tofauti kati ya uhalisia na maandiko yenu hamlioni??
Natamani niweke vifungu vya maandiko lakini uzi utakua mrefu sana na utaboa. Naomba leo tutumie kigezo cha muda tu. Kwa mujibu wa dini, binadamu tupo katika uso wa dunia si zaidi ya miaka 4000, wakati historia na sayansi inasema tupo hapa almost 60M years. Na kabla yatu kunaviumbe (dinosaurs) waliishi zaidi ya miaka 200 Million years.
Sasa dhana ya dunia kuumbwa kwa siku tano alaf ya situ akaumbwa Adam ndo mpaka kuwepo sisi ni muda mchache sana ukilinganisha na ushaidi wa kisayansi tunaouna sasa.
Natamani niweke vifungu vya maandiko lakini uzi utakua mrefu sana na utaboa. Naomba leo tutumie kigezo cha muda tu. Kwa mujibu wa dini, binadamu tupo katika uso wa dunia si zaidi ya miaka 4000, wakati historia na sayansi inasema tupo hapa almost 60M years. Na kabla yatu kunaviumbe (dinosaurs) waliishi zaidi ya miaka 200 Million years.
Sasa dhana ya dunia kuumbwa kwa siku tano alaf ya situ akaumbwa Adam ndo mpaka kuwepo sisi ni muda mchache sana ukilinganisha na ushaidi wa kisayansi tunaouna sasa.