PostGE2025 Kwanini TEC hawakutoa ushirikiano kwa Tume ya Jaji Chande?

PostGE2025 Kwanini TEC hawakutoa ushirikiano kwa Tume ya Jaji Chande?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
46,614
Reaction score
38,171
Je Kukataa wito wa tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025, kuna dhihirisha ukweli juu ya ushiriki wao katika kuchochea vurugu na ghasia hizo za oct.2025?.

Sote ni mashuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakato uchaguzi mkuu wa oct.

sheria ni msumeno, na mkono wa sheria ni mrefu kuliko wanavyodhani.

Ni muhimu sana mamlaka za nchi kuwadhibiti kuwazuia wahusika wasitoke nje ya mipaka ya Tanzania.

Kulikoni wasiisaidie tume ya uchunguzi?

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Kukataa wito wa tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025, kuna dhihirisha ukweli juu ya ushiriki wao katika kuchochea vurugu na ghasia hizo za oct.2025.
Sote ni mashuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakato uchaguzi mkuu wa oct.

Kulikoni waidindie tume ya uchunguzi?

Mungu Ibariki Tanzania.
Pumbafu na takataka, unajiona kama utaishi miaka 1000,nawewe utakufa tu
 
Kukataa wito wa tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025, kuna dhihirisha ukweli juu ya ushiriki wao katika kuchochea vurugu na ghasia hizo za oct.2025.
Sote ni mashuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakato uchaguzi mkuu wa oct.

sheria ni msumeno, na mkono wa sheria ni mrefu kuliko wanavyodhani.
Ni muhimu sana mamlaka za nchi kuwadhibiti kuwazuia wahusika wasitoke nje ya mipaka ya Tanzania.

Kulikoni waidindie tume ya uchunguzi?

Mungu Ibariki Tanzania.
Shida ya wanawake wenye matiti makubwa huwa tunawaona kwenye TAARABU.

Kwetu hapa kapewa NCHI.

Ila CCM, 😂😂😂😂

Futeni RC kama mlivyofuta kanisa la Gwajima, maneno tani 20,000 ya nini??
 
Kukataa wito wa tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025, kuna dhihirisha ukweli juu ya ushiriki wao katika kuchochea vurugu na ghasia hizo za oct.2025.
Sote ni mashuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakato uchaguzi mkuu wa oct.

sheria ni msumeno, na mkono wa sheria ni mrefu kuliko wanavyodhani.
Ni muhimu sana mamlaka za nchi kuwadhibiti kuwazuia wahusika wasitoke nje ya mipaka ya Tanzania.

Kulikoni waidindie tume ya uchunguzi?

Mungu Ibariki Tanzania.
fe5458ec-05f6-4b9e-a6e7-0f0afbd0e100.jpeg
 
Kukataa wito wa tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025, kuna dhihirisha ukweli juu ya ushiriki wao katika kuchochea vurugu na ghasia hizo za oct.2025.
Sote ni mashuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakato uchaguzi mkuu wa oct.

sheria ni msumeno, na mkono wa sheria ni mrefu kuliko wanavyodhani.
Ni muhimu sana mamlaka za nchi kuwadhibiti kuwazuia wahusika wasitoke nje ya mipaka ya Tanzania.

Kulikoni waidindie tume ya uchunguzi?

Mungu Ibariki Tanzania.
Mkuu Tilatila, Tlaatlaah , with due respect, nakuomba usitake kutupeleka huko, tukaishia kuhitlafiana kwa mambo ya kiimani. TEC ndie msimamizi wa Wakristo Wakatoliki Tanzania, ni taasisi iliyosimama wima iko very straight, haitaki ujinga, wala usiingize kwenye mambo ya kijinga!, hawawezi kushiriki ujinga!.

Kitendo cha TEC Kukataa wito wa tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025, kuna dhihirisha ukweli kuwa TEC wako straight, hawawezi kushiriki ujinga!.

Kwa vile baada ya tumme ya Uchunguzi, inaundwa tume jinai, kama una ushahidi wa TEC kuchochea vurugu na ghasia hizo za oct.2025 na wewe ni shuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakati uchaguzi mkuu wa oct upeleke kwenye Tume jinai!.

Kwa kawaida, TEC, hawatakagi ujinga kabisa!. Hata Baba wa Taifa, angekuwa hai, asingeshiriki ujinga kama huo, yule Mzee ni Mkatoliki, hatutakagi kabisa ujinga!.
Hakuna dhehebu jingine lolote ambalo linaiombea nchi hii na kuliombea taifa hili kama Kanisa Katoliki!.
Madhebu mengine na wachungaji, maaskofu, manabii na mitume wetu pia wanaliombea taifa, ila wengi wao, maombi yao ni ya kichawa chawa, kuna mtu akiboronga, hawathubutu kukemea!, Kanisa Katoliki, hatutaki ujinga, ukituletea mambo ya ujinga, tunakemea na hatujali nani ni nani!, tunamkemea!.

GE2025 - Kanisa Katoliki Tanzania: Mkombozi wa Kweli wa Taifa. Leo tumefunga Novena; Tunakesha na Kuomba, kuiombea Tanzania - A Very Powerful Prayer!
P
 
Je Kukataa wito wa tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025, kuna dhihirisha ukweli juu ya ushiriki wao katika kuchochea vurugu na ghasia hizo za oct.2025?.

Sote ni mashuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakato uchaguzi mkuu wa oct.

sheria ni msumeno, na mkono wa sheria ni mrefu kuliko wanavyodhani.

Ni muhimu sana mamlaka za nchi kuwadhibiti kuwazuia wahusika wasitoke nje ya mipaka ya Tanzania.

Kulikoni wasiisaidie tume ya uchunguzi?

Mungu Ibariki Tanzania.

Hilo Tilatila Tlaatlaah ni mlemavu wa akili.

TEC imejaa watu wenye akili, wakweli wa kauli na nafsi. Hawawezi kushiriki kwenye tendo lolote bandia au la kuusafisha uchafu. Kwa uhakika kama kungekuwa na tume huru, wasingekataa.
 
Je Kukataa wito wa tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025, kuna dhihirisha ukweli juu ya ushiriki wao katika kuchochea vurugu na ghasia hizo za oct.2025?.

Sote ni mashuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakato uchaguzi mkuu wa oct.

sheria ni msumeno, na mkono wa sheria ni mrefu kuliko wanavyodhani.

Ni muhimu sana mamlaka za nchi kuwadhibiti kuwazuia wahusika wasitoke nje ya mipaka ya Tanzania.

Kulikoni wasiisaidie tume ya uchunguzi?

Mungu Ibariki Tanzania.
Hawa hamuwezi kuwapata. Lakini pia unajisahau snaa dogo. Maisha ya dunia yasikufanye ukajisahau hivyo .

Kitu pekee yafaa ukafahamu TEC inaongozwa na creams . and those people have nothing to lose
Ndio maana TEC hadi sasa hawaja comment kitu kwa sababu TEC ni watu wenye akili sana and they will never be chawa kama wale wazee wa biriani

Catholic ndio imani pekee imeweza kumkemea Trump juu ya vita ya Iran , keeping in mind kuwa Iran ni 90% Islamic state. Ujifunze kwamba ukiwa na akili utakuwa rational kwa binadamu wote bila ya kujali imani

Hakuna Islamic state yoyote ikiwemo saudia wala wanaoabudu black box 🗃️ kujaribu hata kumkemea tramp but Vatican stood na Iran .

Ujue Catholic ndio watch dog wa imani hapa duniani. Waheshimu snaa hawa jamaa maana Tanzania ni nchi haina Control kiongozi akiwa mjinga anaweza kufanya uharibifu snaa

Nina heshima kubwa na imani ya kikatolic however I am not Catholic. Catholic can claims ni God faith sent
 
Mkuu Tilatila, Tlaatlaah , with due respect, nakuomba usitake kutupeleka huko, tukaishia kuhitlafiana kwa mambo ya kiimani. TEC ndie msimamizi wa Wakristo Wakatoliki Tanzania, ni taasisi iliyosimama wima iko very straight, haitaki ujinga, wala usiingize kwenye mambo ya kijinga!, hawawezi kushiriki ujinga!.

Kitendo cha TEC Kukataa wito wa tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025, kuna dhihirisha ukweli kuwa TEC wako straight, hawawezi kushiriki ujinga!.

Kwa vile baada ya tumme ya Uchunguzi, inaundwa tume jinai, kama una ushahidi wa TEC kuchochea vurugu na ghasia hizo za oct.2025 na wewe ni shuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakati uchaguzi mkuu wa oct upeleke kwenye Tume jinai!.

Kwa kawaida, TEC, hawatakagi ujinga kabisa!. Hata Baba wa Taifa, angekuwa hai, asingeshiriki ujinga kama huo, yule Mzee ni Mkatoliki, hatutakagi kabisa ujinga!.
P
Hapa umeongea vema . Unajua hawa CCM ndio wanatuharibia nchi sana . Wakiona mambo yanawazidi wanatengeza chuki

Nadhani hii Post Moderator ni ya kufuta ni post ya uchochezi na kukosemea heshima kanisa takatifu Tanzania
Hii ni defamation na muhusika
Anatakiwa kupigwa burn hadi aje na prooof ya kauli yake otherwise watu kama hawa musi entertain post zao kabisa
Sio post yenye utashi at all
 
Mkuu Tilatila, Tlaatlaah , with due respect, nakuomba usitake kutupeleka huko, tukaishia kuhitlafiana kwa mambo ya kiimani. TEC ndie msimamizi wa Wakristo Wakatoliki Tanzania, ni taasisi iliyosimama wima iko very straight, haitaki ujinga, wala usiingize kwenye mambo ya kijinga!, hawawezi kushiriki ujinga!.

Kitendo cha TEC Kukataa wito wa tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025, kuna dhihirisha ukweli kuwa TEC wako straight, hawawezi kushiriki ujinga!.

Kwa vile baada ya tumme ya Uchunguzi, inaundwa tume jinai, kama una ushahidi wa TEC kuchochea vurugu na ghasia hizo za oct.2025 na wewe ni shuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakati uchaguzi mkuu wa oct upeleke kwenye Tume jinai!.

Kwa kawaida, TEC, hawatakagi ujinga kabisa!. Hata Baba wa Taifa, angekuwa hai, asingeshiriki ujinga kama huo, yule Mzee ni Mkatoliki, hatutakagi kabisa ujinga!.
P
i'm sory mwalimu Pascal Mayalla, i'm sory TEC & wadau wote wa heshima sana wa JF.

Moderator plz, hata kama kufuta uzi sio utaratibu basi walau naomba kufungiwa uzi huu ili walau kuepuka kuwakwaza wadau wengi zaid muhimu na waheshima sana wa JF.
i'm very sory to all once again
 
Je Kukataa wito wa tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025, kuna dhihirisha ukweli juu ya ushiriki wao katika kuchochea vurugu na ghasia hizo za oct.2025?.

Sote ni mashuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakato uchaguzi mkuu wa oct.

sheria ni msumeno, na mkono wa sheria ni mrefu kuliko wanavyodhani.

Ni muhimu sana mamlaka za nchi kuwadhibiti kuwazuia wahusika wasitoke nje ya mipaka ya Tanzania.

Kulikoni wasiisaidie tume ya uchunguzi?

Mungu Ibariki Tanzania.
Watu wameuawa Mbozi na Sumbawanga tume uchwara haikuona haja ya kwenda ila ikaenda Kizimkazi kumridhisha Malikia Yezebeli?
Unaona wanatumia akili?
 
Je Kukataa wito wa tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025, kuna dhihirisha ukweli juu ya ushiriki wao katika kuchochea vurugu na ghasia hizo za oct.2025?.

Sote ni mashuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakato uchaguzi mkuu wa oct.

sheria ni msumeno, na mkono wa sheria ni mrefu kuliko wanavyodhani.

Ni muhimu sana mamlaka za nchi kuwadhibiti kuwazuia wahusika wasitoke nje ya mipaka ya Tanzania.

Kulikoni wasiisaidie tume ya uchunguzi?

Mungu Ibariki Tanzania.
Kijana mjinga sana huyu, unawadhalilisha uvccm wenzako
 
Je Kukataa wito wa tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025, kuna dhihirisha ukweli juu ya ushiriki wao katika kuchochea vurugu na ghasia hizo za oct.2025?.

Sote ni mashuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakato uchaguzi mkuu wa oct.

sheria ni msumeno, na mkono wa sheria ni mrefu kuliko wanavyodhani.

Ni muhimu sana mamlaka za nchi kuwadhibiti kuwazuia wahusika wasitoke nje ya mipaka ya Tanzania.

Kulikoni wasiisaidie tume ya uchunguzi?

Mungu Ibariki Tanzania.
Japo mimi sio mwanasiasa na wala sina chama nachokishabikia,TEC hata kama hawapatani na Samia,wangepeleka mwakilishi tu.Ama kuhusu kama na wao walishiriki kuchochea vurugu mimi sina ushahidi hivyo siwezi abadan kuwatuhumu.
 
Back
Top Bottom