Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 46,614
- 38,171
Je Kukataa wito wa tume ya uchunguzi wa matukio ya oct.2025, kuna dhihirisha ukweli juu ya ushiriki wao katika kuchochea vurugu na ghasia hizo za oct.2025?.
Sote ni mashuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakato uchaguzi mkuu wa oct.
sheria ni msumeno, na mkono wa sheria ni mrefu kuliko wanavyodhani.
Ni muhimu sana mamlaka za nchi kuwadhibiti kuwazuia wahusika wasitoke nje ya mipaka ya Tanzania.
Kulikoni wasiisaidie tume ya uchunguzi?
Mungu Ibariki Tanzania.
Sote ni mashuhuda wa namna viongozi wa TEC walivyohubiri chuki na walivyotamani fujo, vurugu, maafa na uharibifu kutokea katika wakato uchaguzi mkuu wa oct.
sheria ni msumeno, na mkono wa sheria ni mrefu kuliko wanavyodhani.
Ni muhimu sana mamlaka za nchi kuwadhibiti kuwazuia wahusika wasitoke nje ya mipaka ya Tanzania.
Kulikoni wasiisaidie tume ya uchunguzi?
Mungu Ibariki Tanzania.