Kwanini sitamsamehe Hayati Magufuli

Kwanini sitamsamehe Hayati Magufuli

Atumie mamlaka yake sawa sawa aachane na Mataga
Ni kweli. Nchi imeparanganyika kabisa. Utu, heshima na hadhi ya mtu vimetoweka kabisa. Mama Samia anaonekana ana nia ya kuturudisha kwenye mstari lakini bado ana woga wa kuonekana anamkosoa na anaogopa kuwaudhi wafuasi wa Mwendazake ambao yeye mwenyewe mama amewarithi kwenye serikali yake.
 
Kanisa Katoliki lipo mbioni kuanza mchakato wa kumtakatifuza na kumfanya mwenye heri. Kwa Imani kuwa roho yake kwa sasa ipo matohorani ili kuweza kuondoa hizo kasoro anazolalamikiwa.
 
Magufuli Rais mstaafu kafanya mengi mazuri kwa kipindi chake. Lakini ikumbukwe kosa halifutwi kwa kutenda wema bali kwa kulirudia na kutubu au kulifuta.

Kwa upande wangu mambo haya machache ninayaita makosa ya Magufuli ambaye hapaswi kusamehewa;

1. Kuondoa fao la kujitoa kwa watumishi wa umma na taasisi binafsi.

2. Kuvunja mifuko ya hifadhi ya jamii na kuuunda au kubakisha 2 tu ambayo inajiendesha kwa mifumo ya kidikteta. Haina competition. Zamani LAPF na baadhi ya mifuko kulikuwa na promotions nyingi kama mikopo nafuu ya elimu, nyumba na promotions zingine. Sasa hivi hii mifuko miwili haina cha promotions Wala nini.

3. Kutokuniongezea mshahara kwa miaka 5 mfululizo huku vifaa vya ujenzi vikipanda bei kila mwaka. Nondo iliyouzwa 14 miaka 5 iliyopita sasa elfu 20, cement kutoka sh.elfu 10-12 sasa elfu 15 hii ni bei ya Dar sijui huko mikoani na wilayani.
Nitakusahihisha kwenye Namba 2 kuhusu kuunganisha mifuko ya hifadhi ya jamii kubakia 2 tu.

Hili lilianza na vyama vya wafanyakazi (TFTU) kwenye risala ya Mei Mosi mwaka 2014. Viongozi wa TFTU walilalika kuwa wanapata mafao kiduchu na yaliyochelewa kwa vile mifuko imewekeza sana kwenye COMPETITION badala ya ku-Improve mafao yao. Waliona dedha zao hazitumiki vizuri na ndiyo walileta pendekezo la mifuko 2.
Magufuli alichofanya ni kumalizia mchakato ulioanzishwa na JK.
 
Samehe saba mara sabini mkuu. Samehe nawe utasamehewa. Binadamu hatuna ukamilifu
 
Magufuli Rais mstaafu kafanya mengi mazuri kwa kipindi chake. Lakini ikumbukwe kosa halifutwi kwa kutenda wema bali kwa kulirudia na kutubu au kulifuta.

Kwa upande wangu mambo haya machache ninayaita makosa ya Magufuli ambaye hapaswi kusamehewa;

1. Kuondoa fao la kujitoa kwa watumishi wa umma na taasisi binafsi.

2. Kuvunja mifuko ya hifadhi ya jamii na kuuunda au kubakisha 2 tu ambayo inajiendesha kwa mifumo ya kidikteta. Haina competition. Zamani LAPF na baadhi ya mifuko kulikuwa na promotions nyingi kama mikopo nafuu ya elimu, nyumba na promotions zingine. Sasa hivi hii mifuko miwili haina cha promotions Wala nini.

3. Kutokuniongezea mshahara kwa miaka 5 mfululizo huku vifaa vya ujenzi vikipanda bei kila mwaka. Nondo iliyouzwa 14 miaka 5 iliyopita sasa elfu 20, cement kutoka sh.elfu 10-12 sasa elfu 15 hii ni bei ya Dar sijui huko mikoani na wilayani.
Usipomsanehe wewe pia hutasamehewa
 
Tusijidanyanye, usiposamehewa na watu uliowakosea, usitarajie kusamehewa na Mungu. Ndio maana Mwenyezi Mungu ametuonya kutengenezea Mambo yetu kabla hazijaja siku zetu mbaya (kifo)
.

Na ni Mungu peke yake ndiye mwenye Mamlaka ya kuhukumu,wewe ni nani mpaka umuhukumu Binadamu mwenzio ilihali na wewe una yako mengi tu tena maovu zaidi. Ni vile hujulikani basi uko hapa kujifanya Saint kwa kumnyooshea kidole mwendazake.
 
Kusamehewa na muumba kunategemea na Dua na Sala za aliowaacha,Kama went wanalia naye atalia huko alipo

Wewe ni nani hadi utoe hukumu kwa Binadamu mwenzio? Ni Mungu peke yake ndiye mwenye uwezo wa kuhukumu viumbe wake aliyowaumba.
 
Back
Top Bottom