Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,873
- 7,143
Haijalishi maana madhara aliyotuachia ni endelevu.
.Watu wamevurugiwa maisha yao dead completely
.Ndoa na familia za watu
zimesambaratika kwa sababu yake
.Watu Wana ulemavu wa kudumu sababu yake.
.Watu ni homeless sababu yake
Watu wamekufa kwa misongo nk kwa sababu yake.
.Watu wamefilisika kabisa
.Watu wako jela kwa kubambikwa
Nk
Unaweza msamehe vipi mtu kama huyu akupae uchungu wa milele.
We naona ulijenga nyumba kwenye eneo la hifadhi ya barabarapale mbezi,basi msamehe kwa makosayako mwenyewe ya kujenga kwenye hifadhi ya barabara.
Otherwise usipite kwenye zile njia nane sawa!!.