Kwanini sitaki kupata mtoto

Kwanini sitaki kupata mtoto

Yaan Uzi wako nimesema theruth tu nakuona hata kuchamba mwenyew mavi yako bado
 
Habari,

Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo;

Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe.
Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20, kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa kulea kuzidi kua productive.

Hamna guarantee katika maisha.
Kama mnavojua maisha yetu haya hayana guarantee, kwa mimi siwezi kuleta kiumbe katika dunia hii ambayo haieleweki na iliojaa mabalaa ili kumuepusha huyo mtoto na mabalaa ya dunia nimeamua nisimlete kabisa au unaweza ukaleta mtoto akawa balaa kwa dunia akawa mwizi, shoga, muawaji, gaidi sasa kwanini nitake risk wakati naweza iepuka?

Watoto watanirudisha nyuma
Kutokana na kazi yangu watoto watanirudisha nyuma, watanicost pesa yangu, mda wangu pamoja na stress zao arghh maisha ni yangu na yatabaki kua yangu.

____
Sasa mama yangu kila akiniuliza kua anategemea mjukuu kutoka kwangu hua napatwa na hasira japo nampenda.

Kua na mtoto ni chaguo langu, sitaki jamii inipe presha ya kupata mtoto sababu mimi sio 3D human printer.

It is our body, our will, our blood and flesh; and hence our choice to procreate or not.

Nobody is supposed to be judged just because they don't want to have babies.

Sometimes we want our career and sometimes our passion to lead our lives. If making a child doesn't fit in that, what's a big deal?

Maasallam.
I wish na wewe usingezaliwa ama kulelewa na wazazi wako. Itakua walifanya makosa. Huo ni ubinafsi live ndugu
 
Well,inawezekana pia unajustify uhanithi wako wa mbuzi .Sisi tutajuaje kama sio sizitaki mbichi hizi?
 
1552151417886.png
Inakuhusu!
 
Naungana na wewe 100% pia na jamaa wa india yule alie washtaki Wazazi wake kwakumleta dunian bila lizaa yake hafu wanamfanya tegemezi kiasi kwamba anapata hasira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari,

Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo;

Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe.
Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20, kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa kulea kuzidi kua productive.

Hamna guarantee katika maisha.
Kama mnavojua maisha yetu haya hayana guarantee, kwa mimi siwezi kuleta kiumbe katika dunia hii ambayo haieleweki na iliojaa mabalaa ili kumuepusha huyo mtoto na mabalaa ya dunia nimeamua nisimlete kabisa au unaweza ukaleta mtoto akawa balaa kwa dunia akawa mwizi, shoga, muawaji, gaidi sasa kwanini nitake risk wakati naweza iepuka?

Watoto watanirudisha nyuma
Kutokana na kazi yangu watoto watanirudisha nyuma, watanicost pesa yangu, mda wangu pamoja na stress zao arghh maisha ni yangu na yatabaki kua yangu.

____
Sasa mama yangu kila akiniuliza kua anategemea mjukuu kutoka kwangu hua napatwa na hasira japo nampenda.

Kua na mtoto ni chaguo langu, sitaki jamii inipe presha ya kupata mtoto sababu mimi sio 3D human printer.

It is our body, our will, our blood and flesh; and hence our choice to procreate or not.

Nobody is supposed to be judged just because they don't want to have babies.

Sometimes we want our career and sometimes our passion to lead our lives. If making a child doesn't fit in that, what's a big deal?

Maasallam.
Sasa maisha yako sisi yanatuhusu nini!? Endelea na kufuru zako moyoni. Haina haja ya kuja kuropoka huku!!!!!
 
Habari,

Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo;

Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe.
Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20, kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa kulea kuzidi kua productive.

Hamna guarantee katika maisha.
Kama mnavojua maisha yetu haya hayana guarantee, kwa mimi siwezi kuleta kiumbe katika dunia hii ambayo haieleweki na iliojaa mabalaa ili kumuepusha huyo mtoto na mabalaa ya dunia nimeamua nisimlete kabisa au unaweza ukaleta mtoto akawa balaa kwa dunia akawa mwizi, shoga, muawaji, gaidi sasa kwanini nitake risk wakati naweza iepuka?

Watoto watanirudisha nyuma
Kutokana na kazi yangu watoto watanirudisha nyuma, watanicost pesa yangu, mda wangu pamoja na stress zao arghh maisha ni yangu na yatabaki kua yangu.

____
Sasa mama yangu kila akiniuliza kua anategemea mjukuu kutoka kwangu hua napatwa na hasira japo nampenda.

Kua na mtoto ni chaguo langu, sitaki jamii inipe presha ya kupata mtoto sababu mimi sio 3D human printer.

It is our body, our will, our blood and flesh; and hence our choice to procreate or not.

Nobody is supposed to be judged just because they don't want to have babies.

Sometimes we want our career and sometimes our passion to lead our lives. If making a child doesn't fit in that, what's a big deal?

Maasallam.
Hnatafuta attention tu wewe huna lolote.
Whats the point ya kufanya kazi na kuwa na mafanikio yote kama huna wa kushare nae. As you mature you will understand that.
 
Nakupongeza mtoa mada kwa mawazo huru na uwezo wa kueleza yaliyo moyoni mwako.
Ningependa kuongezea points chache zaidi kusupport maamuzi yako ya kutokuwa na mtoto, kinda "There shall be no any descendants from me":


a) Mateso
Tuliopo duniani tunapitia mateso katika vipindi mbalimbali/tofauti vya maisha yetu kama vile magonjwa, msongo wa mawazo n.k. Na ni lazima kila mmoja apitie. Hivyo kuwa na mtoto ni kumuExpose yeye directly na mateso yasiyoepukika.

b) Namna ya kuja duniani.
Ni njia ya mateso makali hasa kwa akina mama. Wanapitia complications nyingi kama vile kubeba ujauzito kwa miezi tisa, kujifungua, na malezi. (Hapa wamama wanaweza kuelezea vizuri zaidi). Ili kuepusha hayo yote ni bora kutokuwa na, au kutoleta, mtoto duniani.

c) Namna ya kuondoka duniani (Kifo)
Ni ukweli usiopingika kuwa kifo huogopwa na wengi kwa kuwa ni namna ya "kikatili" ya kuondoka duniani. Ili kuonesha huruma na kuwaepusha watoto na "njia" hii ni bora kutowazaa kabisa (kutowaleta duniani).

d) Maisha baada ya kifo
Hadi sasa bado hatuna "certainty" ya kinachofuata mara baada ya kifo. Dini tulizonazo zimejaribu kuelezea yatakayotokea kama vile incarnation (kuzaliwa upya ukiwa kiumbe kingine), adhabu ya moto (au kwenye ziwa la moto), adhabu za kaburi n.k. Of course kila imani ina maelezo yake na kwa ujumla yanaonesha "kutisha" au kutoa indication kwamba hali si shwari huko mbele. Kwa kuwa sisi tuliopo duniani hatuna certainty ni vyema pia kutoleta viumbe vingine zaidi, maana vitakuwa kwenye "same vicious cycle".

e) Utatuzi wa matatizo ya viumbe vilivyopo duniani.
Hii inataka kufanana na point (a). Viumbe vilivyopo duniani duniani vinapitia matatizo mbalimbali kama vile umasikini uliokithiri, magonjwa, uyatima, matatizo ya akili n.k.
Hivyo, badala ya kuleta viumbe wapya duniani ni bora kutatua matatizo yaliyopo na yanayowakumba viumbe wa duniani, maisha yatakuwa na maana zaidi.

Generally, kutowaleta watoto duniani ni kuonesha kuwajali na kuwahurumia kwa sababu hatuwaExpose na yanayotokea hapa duniani, kifo na tunayoambiwa yatatokea baada ya kifo.

Anyway, huo ni mtazamo wa upande mmoja na si jambo baya kuwa na mtazamo mbadala (tofauti na ilivyozoeleka katika jamii zetu).

Nawasilisha.
 
Hnatafuta attention tu wewe huna lolote.
Whats the point ya kufanya kazi na kuwa na mafanikio yote kama huna wa kushare nae. As you mature you will understand that.
Hivi umesoma vizuri huu uzi?au umekurupuka tu kujibu?
 
Nakupongeza mtoa mada kwa mawazo huru na uwezo wa kueleza yaliyo moyoni mwako.
Ningependa kuongezea points chache zaidi kusupport maamuzi yako ya kutokuwa na mtoto, kinda "There shall be no any descendants from me":


a) Mateso
Tuliopo duniani tunapitia mateso katika vipindi mbalimbali/tofauti vya maisha yetu kama vile magonjwa, msongo wa mawazo n.k. Na ni lazima kila mmoja apitie. Hivyo kuwa na mtoto ni kumuExpose yeye directly na mateso yasiyoepukika.

b) Namna ya kuja duniani.
Ni njia ya mateso makali hasa kwa akina mama. Wanapitia complications nyingi kama vile kubeba ujauzito kwa miezi tisa, kujifungua, na malezi. (Hapa wamama wanaweza kuelezea vizuri zaidi). Ili kuepusha hayo yote ni bora kutokuwa na, au kutoleta, mtoto duniani.

c) Namna ya kuondoka duniani (Kifo)
Ni ukweli usiopingika kuwa kifo huogopwa na wengi kwa kuwa ni namna ya "kikatili" ya kuondoka duniani. Ili kuonesha huruma na kuwaepusha watoto na "njia" hii ni bora kutowazaa kabisa (kutowaleta duniani).

d) Maisha baada ya kifo
Hadi sasa bado hatuna "certainty" ya kinachofuata mara baada ya kifo. Dini tulizonazo zimejaribu kuelezea yatakayotokea kama vile incarnation (kuzaliwa upya ukiwa kiumbe kingine), adhabu ya moto (au kwenye ziwa la moto), adhabu za kaburi n.k. Of course kila imani ina maelezo yake na kwa ujumla yanaonesha "kutisha" au kutoa indication kwamba hali si shwari huko mbele. Kwa kuwa sisi tuliopo duniani hatuna certainty ni vyema pia kutoleta viumbe vingine zaidi, maana vitakuwa kwenye "same vicious cycle".

e) Utatuzi wa matatizo ya viumbe vilivyopo duniani.
Hii inataka kufanana na point (a). Viumbe vilivyopo duniani duniani vinapitia matatizo mbalimbali kama vile umasikini uliokithiri, magonjwa, uyatima, matatizo ya akili n.k.
Hivyo, badala ya kuleta viumbe wapya duniani ni bora kutatua matatizo yaliyopo na yanayowakumba viumbe wa duniani, maisha yatakuwa na maana zaidi.

Generally, kutowaleta watoto duniani ni kuonesha kuwajali na kuwahurumia kwa sababu hatuwaExpose na yanayotokea hapa duniani, kifo na tunayoambiwa yatatokea baada ya kifo.

Anyway, huo ni mtazamo wa upande mmoja na si jambo baya kuwa na mtazamo mbadala (tofauti na ilivyozoeleka katika jamii zetu).

Nawasilisha.
Kweli sio jambo baya,asante kwa kukazia sababu zangu.
 
Back
Top Bottom