Nimeisoma vizuri sana, na nnaelewa vizuri tu. Unavoplan vitu vyako jaribu kuangalia mbali, mfano 20 years from today, au 30. Af jiulize ikifika kipindi hicho utakua una mawazo gani. Kuna kipindi nilikua nafanya kaz ambayo ilikua inadeal na funds za wafadhili kutoka nje. Wale wazungu wanakua wazee, wana mali nyingi lakini hawana watoto, wanajutia sana coz wanajua maisha yao yote wamefanya kazi lakin hawana wa kumrithisha mali zao. As a man one of the proudest moments ni kuona mwanao amekua na anjielewa na anaweza kumake something in this world. Kuoa ndo sio lazima na hamna umuhimu. Lakini watoto ni kitu kingine kabisa.
Ndo maana nkakuambia uki mature utaelewa.