Kwanini sitaki kupata mtoto

Nimefurahi kwa kunielewa
 
Na bado ukizaa watoto wakakushinda kulea bado watakusakama hao wao. Ni mtu kufanya kile kinamfurahisha, cha msingi havunji sheria.
Ni kweli usiombee uzae alafu upate hasara utaishi maisha ya kusikitika,kujilaumu,kujuta na unaogopa kumlaumu mungu kwa kuogopa laana unabaki unavumilia tu..mtu unazaa ukitegemea mtoto atakupa furaha unashangaa anakupa furaha akiwa mchanga tu akikua anakua mtihani kwako unajuta
 
Umejuahe kuwa una uwezo wa kuzaa?? Ushawahi kutia mimba mwanamke?
 
Issue n kwamba hauna uwezo WA kufanya hvo hizo zngne mbwembwe tu,pole mkuu coz kua mzaz kuna raha yake.
 
Wana akili lakini akili zao ni bure hawazifanyii kazi kufkiria
........
Ktk miongoni mwa baraka mtu ambazo anaweza kubarikiwa basi ni kua na mtoto yaan u find your self in somebody else's body

U feel complete , you find deep happiness in ur childrens face

Si bure itakua huna uwezo wa kuzalisha ww unajiliwaza tu na hizi post zko
 
Hahahaha.... kwa hili povu mtu ameshajeruhiwa tayari. Yaani unaulizwa na mama yako kuhusu mjukuu unakasirika! kweli wewe hamnazo. Ila pole sana na nikutakie safari njema kwa maamuzi yako kama ya Nabii Tito. Any way huo ni mtizamo tu
 
hahaha hichi ni kichekesho,mtoto mnaweza mkafanana pua tu lakini akawa ana tabia tofauti tena za ajabu kuliko wewe.mtoto kuna kupata na kukosa,mtoto anaweza akaja na baraka au laana pia.na kila navozidi kukua ndo nazidi kupambanua hii bahati nasibu.
 

Mkuu.
naona ckutenda vyema.
tafadhal naomba unisameh kwa kutumia lugha isiyokuwa ya kiungwana ktk comment yang.
SAMAHANI SANA
 
ssa na mkeo kalipokeaje jambo hli?
Mke wangu na yeye ana msimamo kama huu japo yeye umechangiwa na family history yao ya kua na sickle cell..karibia kila ndugu yake wa damu amezaa mtoto mmoja wapo mwenye ugonjwa huu mbaya wa kurithi.odds za mtoto wetu kuupata huu ugonjwa ni ndogo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…