Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,562
- 7,348
Umenena kama msemaji wa serikaliKitu ambacho hamjakijua ni mind your business!!
Sijui Kama nitaeleweka! Pambania maisha yako, pambania familia yako pambana upate fedha upunguze matatizo uliyonayo.
Lalamikia serikali yako kukupatia mambo ya msingi Hospitali na huduma nyengine ila wewe jiwekeze kujikimu hayo mengine utadata; hakuna atakae kupa taarifa ya uhakika hapa hiyo hela imekwenda kivipi.