Kwanini wananchi wanasahaulishwa kwa hii ahadi?
Hata serikali ilisema tu kwasababu Barrick ilibidi waambie wamiliki wa share zao wazi. Sasa hizi pesa ni siri kwanini? Zinatumika kufanya nini?.
Inaelekea zitaenda kwenye chaguzi! Maana haziko kwenye budget yoyote.
Mimi nina wasiwasi na huu upigaji wanaokaa kwenye sehemu za uchimbaji wangetakiwa wafaidike na hili na pesa za mchanga.
Hata serikali ilisema tu kwasababu Barrick ilibidi waambie wamiliki wa share zao wazi. Sasa hizi pesa ni siri kwanini? Zinatumika kufanya nini?.
Inaelekea zitaenda kwenye chaguzi! Maana haziko kwenye budget yoyote.
Mimi nina wasiwasi na huu upigaji wanaokaa kwenye sehemu za uchimbaji wangetakiwa wafaidike na hili na pesa za mchanga.