Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,480
Acha kukariri bwashee...... Hiyo smelte hata Dr Msukuma anaweza kuwekeza!Jamaa anasikitika Muhongo alifutwa kazi sababu alisema hiawezekani kujengwa smelter hapa bongo chakusikitisha mwaka wa 5 jiwe kashindwa na makinikia yanaendelea kusafirishwa ndio hapo anaona watawala wanaweka shule zakata bila elimu ili zitoke product poor kama wewe mnaoshangilia porojo maana ndio mtaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama serikali yako imeshindwa msukuma na madeni ya nbc anaanzia wapi kujenga na kwann asijengeAcha kukariri bwashee...... Hiyo smelte hata Dr Msukuma anaweza kuwekeza!
Sometime nawaza watanganyika nasema elimu bure na shule za kata ni mtaji mkubwa wa kutawala na sio kuongoza.
Nakumbuka hii ripoti ilitaka kumtoa mtu roho pale Dodoma na ilisemwa kuwa ni professional rubbish kuwa haina ukweli Wala uhalisia. Na zaidi tukaaminishwa kiwa tunaidai Barrick trillioni 425 na tukahaidiwa zitalipwa serikali hii sio ya mchezo mchezo maana tumeibiwa vya kutosha.
Wakaja mabeberu kukutana na majike ya hapa bongo zikapigwa danadana na acaccia tukaambiwa watalipa kishika uchumba yaani mahali itakuwa bilioni 700.
Nashangaa juzi nchi inaolewa bila kuambiwa fidia au mahari imelipwa ya bil 700 au nchi imeolewa bure.
Na makinikia yanaendelea kusafirishwa na Smelter hatujaambiwa inajengwa wapi.
Awamu hii ya kitapeli kuliko awamu zote, na ni awamu ya kifisadi kuliko inavyodhaniwa
mkuu tunagawana asilimia mkuu, tuko jonjo sana safari hiiSometime nawaza watanganyika nasema elimu bure na shule za kata ni mtaji mkubwa wa kutawala na sio kuongoza.
Nakumbuka hii ripoti ilitaka kumtoa mtu roho pale Dodoma na ilisemwa kuwa ni professional rubbish kuwa haina ukweli Wala uhalisia. Na zaidi tukaaminishwa kiwa tunaidai Barrick trillioni 425 na tukahaidiwa zitalipwa serikali hii sio ya mchezo mchezo maana tumeibiwa vya kutosha.
Wakaja mabeberu kukutana na majike ya hapa bongo zikapigwa danadana na acaccia tukaambiwa watalipa kishika uchumba yaani mahali itakuwa bilioni 700.
Nashangaa juzi nchi inaolewa bila kuambiwa fidia au mahari imelipwa ya bil 700 au nchi imeolewa bure.
Na makinikia yanaendelea kusafirishwa na Smelter hatujaambiwa inajengwa wapi.
Awamu hii ya kitapeli kuliko awamu zote, na ni awamu ya kifisadi kuliko inavyodhaniwa
Sometime nawaza watanganyika nasema elimu bure na shule za kata ni mtaji mkubwa wa kutawala na sio kuongoza.
Nakumbuka hii ripoti ilitaka kumtoa mtu roho pale Dodoma na ilisemwa kuwa ni professional rubbish kuwa haina ukweli Wala uhalisia. Na zaidi tukaaminishwa kiwa tunaidai Barrick trillioni 425 na tukahaidiwa zitalipwa serikali hii sio ya mchezo mchezo maana tumeibiwa vya kutosha.
Wakaja mabeberu kukutana na majike ya hapa bongo zikapigwa danadana na acaccia tukaambiwa watalipa kishika uchumba yaani mahali itakuwa bilioni 700.
Nashangaa juzi nchi inaolewa bila kuambiwa fidia au mahari imelipwa ya bil 700 au nchi imeolewa bure.
Na makinikia yanaendelea kusafirishwa na Smelter hatujaambiwa inajengwa wapi.
Awamu hii ya kitapeli kuliko awamu zote, na ni awamu ya kifisadi kuliko inavyodhaniwa
MIGA kufanya nini wakatia hatulipwi Kishika uchumba, Na wala yale Ma tril yakushangaza DUNIA hatulipwi. Means MABEBERU yamepata mchumba kwa BEI POA( mashart LEGEVU) sasa MIGA ya nn Hapo?.Vipi Barrick hawajaenda MIGA?