Mtamba wa Panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 790
- 1,961
- Thread starter
-
- #81
Acha zinaa umri ushaanza kukuacha mkono. Kama unahitaji mke shirikisha ndugu jamaa na marafiki wa karibu nakwambia hautopata shida, ikiwa kama unataka kudanga tu basi fata ushauri wa wadau wengi humu.
Yaa wewe kaka Mimi aisee tuko wengiNina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi".
Nikiwacheki hao wanaume wengine ni wa kawaida tu kulinganisha na mimi lakini wanapata wanawake na wanawazalisha kama kuku.
Nikiwa na hamu ya tendo mpaka "ninunue"
Nimekuwa natafuta mwanamke wa kuoa lakini kila msichana ninayemuapproch hunijibu "nina mtu wangu". Sasa najiuliza Mbona hawa wanawake kutwa wanalalamika hawaolewi? Wakati kila mtu ana mtu wake?
Huwa nashangaa ninavyosikia mademu wa kihaya na warangi kuwa warahisi sana.. Mbona mimi nawaona wagumu hasa wahaya kuna mmoja nilitongoza juzi kanichimba mkwara nisimfatefate.
Inaniuma sana wadau kuona "mazwazwa" wanamiliki pisi kali huko mitaani halafu mimi mzee wa kazi a.k.a ngoma ngumu nabaki kubambia mito usiku.
Je, hii ni kawaida au ni mimi tu niko "as a special case".
Naombeni ushauri wadau nifanye nini? Maana wanawake wazuri wote wameshachukuliwa na wajanja na wanawazalisha tu.
Au nijaribu Kenya na Rwanda?
Inaniuma sana!
Ndio maana niliuliza hapa Jf ili nijue ni kawaida ama mimi tu.. Kumbe tuko wengi!Yaa wewe kaka Mimi aisee tuko wengi
Kwamba niamini haguswiiiii.😁😁 Bado una muamini huyo
My wangu atakunywesha chai tu huyo
Kabisaaah yaan, life goes on.Nilitaka kumshauri hivi lakini nikaona ww umesema mimi nakupigia makofi
[emoji3][emoji3] imagineKwamba niamini haguswiiiii.
Mxxxxxxxiiieee
you said it well, Mimi mkaka akinijia yupo very desperate huwa anaishia tu kuniboa, napenda mwanaume awe na vi attitude, niione ile manly ego, huwa na fall for that kind of man..!!No matter what women say, deep down, they want you to take charge. That's why they let you pick the place and time for a date. Be decisive!
Usimpe nafasi for negotiations. Akikuambia I'm busy, usimbembeleze. Next her na usonge mbele. Always show them you have options hiki ndicho kinachokupa thamani kama mwanaume.
Mie huuuyu na ujambazi wote huu[emoji3][emoji3] imagine
Na kama ni hivo wake za watu wasingeliwa.
KivipiKwa jinsi ulivyo ni halali tu ukose.
😀Utakuwa na sura ya kutisha dizain flan kama zombi[emoji16]
Huko ndiko kwema zaidiKaka unataka niendelee kubambia godoro?