Kwanini sipati mpenzi kama vidume wengine?

Kwanini sipati mpenzi kama vidume wengine?

Isije ikawa wamekupiga Juju/ kipapai sali sala ya kuondoa nuksi, rekebisha mavazi unayovaa, jitazame jinsi unavyoongea.
Kaka hili jambo nimelifikiria sana.. Yani uko kwenye mawazo yangu!
 
Pindi npo form six na utundu wangu wa kudanganya kucheza na hisia za Hawa viumbe nilikula mdada anajielewa ni mtangazaji wa radio flan local hapa kitaa dada flan mweny pigo za ki slay queen nilichogundua kuhusu wewe


Tatizo ukijibiwa shit unakata tamaa mapema

Approach zako mbovu


Mwonekano wako uvaaji wako pia unachangia

Huna hela japo hii sio main point kwa mademu wa kitaa maana kwa bajet ya 20000 unaitumia mpka unamiliki hapo sjui vocha, salun nk

Domo zege


Embu anza kuji evaluate hapa halafu cha muhimu punguza uoga embu jiamini bana
 
Ukiwa unatongoza hakuna mwanamke atakaekuamhia yuko peke yake never, Halafu na wewe usimuulize kama una mtu au huna na hata kama akikuambia ana mtu we endelea kufukuzia tu uone kama utachomoa, mtumie vizawadi, mtumie vocha kama unaweza fasta unachukua zigo
 
twende mbele turudi nyuma kupata wakuo wakt ukiwa 30yrs na kuendelea kazi sana, cha kushauri hapo anza kuruka na girl wa miaka 18-24.
lakin kuanzia 25 nakuendelea mara nyingi wanakuwa tyr washakuwa na watu wao wanaowafikiria..
 
Nina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi".

Nikiwacheki hao wanaume wengine ni wa kawaida tu kulinganisha na mimi lakini wanapata wanawake na wanawazalisha kama kuku.

Nikiwa na hamu ya tendo mpaka "ninunue"

Nimekuwa natafuta mwanamke wa kuoa lakini kila msichana ninayemuapproch hunijibu "nina mtu wangu". Sasa najiuliza Mbona hawa wanawake kutwa wanalalamika hawaolewi? Wakati kila mtu ana mtu wake?

Huwa nashangaa ninavyosikia mademu wa kihaya na warangi kuwa warahisi sana.. Mbona mimi nawaona wagumu hasa wahaya kuna mmoja nilitongoza juzi kanichimba mkwara nisimfatefate.

Inaniuma sana wadau kuona "mazwazwa" wanamiliki pisi kali huko mitaani halafu mimi mzee wa kazi a.k.a ngoma ngumu nabaki kubambia mito usiku.

Je, hii ni kawaida au ni mimi tu niko "as a special case".

Naombeni ushauri wadau nifanye nini? Maana wanawake wazuri wote wameshachukuliwa na wajanja na wanawazalisha tu.

Au nijaribu Kenya na Rwanda?

Inaniuma sana!
Baadhi ya nyuzi za kufungia mwaka 2020 zinachekesha sana😀
 
Back
Top Bottom