Kwanini sipati mpenzi kama vidume wengine?

Kwanini sipati mpenzi kama vidume wengine?

Nina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi".

Nikiwacheki hao wanaume wengine ni wa kawaida tu kulinganisha na mimi lakini wanapata wanawake na wanawazalisha kama kuku.

Nikiwa na hamu ya tendo mpaka "ninunue"

Nimekuwa natafuta mwanamke wa kuoa lakini kila msichana ninayemuapproch hunijibu "nina mtu wangu". Sasa najiuliza Mbona hawa wanawake kutwa wanalalamika hawaolewi? Wakati kila mtu ana mtu wake?

Huwa nashangaa ninavyosikia mademu wa kihaya na warangi kuwa warahisi sana.. Mbona mimi nawaona wagumu hasa wahaya kuna mmoja nilitongoza juzi kanichimba mkwara nisimfatefate.

Inaniuma sana wadau kuona "mazwazwa" wanamiliki pisi kali huko mitaani halafu mimi mzee wa kazi a.k.a ngoma ngumu nabaki kubambia mito usiku.

Je, hii ni kawaida au ni mimi tu niko "as a special case".

Naombeni ushauri wadau nifanye nini? Maana wanawake wazuri wote wameshachukuliwa na wajanja na wanawazalisha tu.

Au nijaribu Kenya na Rwanda?

Inaniuma sana!
Dogo tafuta hela....hilo neno kutongoza halipo siku hizi , ukiwa na hela utatamani ukimbie nyumba yako mwenyewe sababu ya kuzongwa na hao viumbe...
 
Kwa hiyo we ukiambiwa nina mtu tayari unapotezea? tatizo linaanziaga hapo, ke unapomtangoza wengi hua na majib ya kukatisha tamaa ili ajue ka upo serious au lah, sa ka wewe ndo ukiambiwa hivo tu unaghairi mpaka utajihisi unagundu.
 
No matter what women say, deep down, they want you to take charge. That's why they let you pick the place and time for a date. Be decisive!

Usimpe nafasi for negotiations. Akikuambia I'm busy, usimbembeleze. Next her na usonge mbele. Always show them you have options hiki ndicho kinachokupa thamani kama mwanaume.
Tupe PDF yote ya hiko kitabu basi tuangaike wenywe kukisoma
 
twende mbele turudi nyuma kupata wakuo wakt ukiwa 30yrs na kuendelea kazi sana, cha kushauri hapo anza kuruka na girl wa miaka 18-24.
lakin kuanzia 25 nakuendelea mara nyingi wanakuwa tyr washakuwa na watu wao wanaowafikiria..
Wala si lazima. Mpaka sasa mwaka huu nimekula maduu watano. Watatu kati yao ni 25 plus.
 
Nina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi".

Nikiwacheki hao wanaume wengine ni wa kawaida tu kulinganisha na mimi lakini wanapata wanawake na wanawazalisha kama kuku.

Nikiwa na hamu ya tendo mpaka "ninunue"

Nimekuwa natafuta mwanamke wa kuoa lakini kila msichana ninayemuapproch hunijibu "nina mtu wangu". Sasa najiuliza Mbona hawa wanawake kutwa wanalalamika hawaolewi? Wakati kila mtu ana mtu wake?

Huwa nashangaa ninavyosikia mademu wa kihaya na warangi kuwa warahisi sana.. Mbona mimi nawaona wagumu hasa wahaya kuna mmoja nilitongoza juzi kanichimba mkwara nisimfatefate.

Inaniuma sana wadau kuona "mazwazwa" wanamiliki pisi kali huko mitaani halafu mimi mzee wa kazi a.k.a ngoma ngumu nabaki kubambia mito usiku.

Je, hii ni kawaida au ni mimi tu niko "as a special case".

Naombeni ushauri wadau nifanye nini? Maana wanawake wazuri wote wameshachukuliwa na wajanja na wanawazalisha tu.

Au nijaribu Kenya na Rwanda?

Inaniuma sana!

Mkuu isijekuwa pale ulipokuwa nae zamani Mmoja akakuona una kibamia anakusema anawaambia wenzake kwahiyo kila unaekutana nae anakukimbia mkuu...
Hahaha joking kaka!
Au wale wanawake wa Kulipia huenda wamekuekea kitu ili uwe unarudi Kwao..
Kwa kuanzia inaonekana wewe ni Msomi (Graduate na Una Kazi yako)
Hivyo unataka wa kuendana na wewe...
Sasa anzia wa chini kwanza hata Mfanya usafi
Ukishatafuna utapata mvuto(Sumaku)flani watakuwa wanakuja wenyewe
 
Back
Top Bottom