Mtamba wa Panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 790
- 1,961
- Thread starter
- #81
Acha zinaa umri ushaanza kukuacha mkono. Kama unahitaji mke shirikisha ndugu jamaa na marafiki wa karibu nakwambia hautopata shida, ikiwa kama unataka kudanga tu basi fata ushauri wa wadau wengi humu.
Sasa napataje mwanamke wa kuoa wakati hawanitaki. Hao wakutafutiwa ndio hawafai kabisa kwa dunia ya sasa.. hiyo ilikuwa zamani sio sasa

