Kwanini sipati mpenzi kama vidume wengine?

Kwanini sipati mpenzi kama vidume wengine?

Acha zinaa umri ushaanza kukuacha mkono. Kama unahitaji mke shirikisha ndugu jamaa na marafiki wa karibu nakwambia hautopata shida, ikiwa kama unataka kudanga tu basi fata ushauri wa wadau wengi humu.

Sasa napataje mwanamke wa kuoa wakati hawanitaki. Hao wakutafutiwa ndio hawafai kabisa kwa dunia ya sasa.. hiyo ilikuwa zamani sio sasa
 
Nina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi".

Nikiwacheki hao wanaume wengine ni wa kawaida tu kulinganisha na mimi lakini wanapata wanawake na wanawazalisha kama kuku.

Nikiwa na hamu ya tendo mpaka "ninunue"

Nimekuwa natafuta mwanamke wa kuoa lakini kila msichana ninayemuapproch hunijibu "nina mtu wangu". Sasa najiuliza Mbona hawa wanawake kutwa wanalalamika hawaolewi? Wakati kila mtu ana mtu wake?

Huwa nashangaa ninavyosikia mademu wa kihaya na warangi kuwa warahisi sana.. Mbona mimi nawaona wagumu hasa wahaya kuna mmoja nilitongoza juzi kanichimba mkwara nisimfatefate.

Inaniuma sana wadau kuona "mazwazwa" wanamiliki pisi kali huko mitaani halafu mimi mzee wa kazi a.k.a ngoma ngumu nabaki kubambia mito usiku.

Je, hii ni kawaida au ni mimi tu niko "as a special case".

Naombeni ushauri wadau nifanye nini? Maana wanawake wazuri wote wameshachukuliwa na wajanja na wanawazalisha tu.

Au nijaribu Kenya na Rwanda?

Inaniuma sana!
Yaa wewe kaka Mimi aisee tuko wengi
 
No matter what women say, deep down, they want you to take charge. That's why they let you pick the place and time for a date. Be decisive!

Usimpe nafasi for negotiations. Akikuambia I'm busy, usimbembeleze. Next her na usonge mbele. Always show them you have options hiki ndicho kinachokupa thamani kama mwanaume.
you said it well, Mimi mkaka akinijia yupo very desperate huwa anaishia tu kuniboa, napenda mwanaume awe na vi attitude, niione ile manly ego, huwa na fall for that kind of man..!!
 
Back
Top Bottom