Kwanini sipati mpenzi kama vidume wengine?

Kwanini sipati mpenzi kama vidume wengine?

Nina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi".

Nikiwacheki hao wanaume wengine ni wa kawaida tu kulinganisha na mimi lakini wanapata wanawake na wanawazalisha kama kuku.

Nikiwa na hamu ya tendo mpaka "ninunue"

Nimekuwa natafuta mwanamke wa kuoa lakini kila msichana ninayemuapproch hunijibu "nina mtu wangu". Sasa najiuliza Mbona hawa wanawake kutwa wanalalamika hawaolewi? Wakati kila mtu ana mtu wake?

Huwa nashangaa ninavyosikia mademu wa kihaya na warangi kuwa warahisi sana.. Mbona mimi nawaona wagumu hasa wahaya kuna mmoja nilitongoza juzi kanichimba mkwara nisimfatefate.

Inaniuma sana wadau kuona "mazwazwa" wanamiliki pisi kali huko mitaani halafu mimi mzee wa kazi a.k.a ngoma ngumu nabaki kubambia mito usiku.

Je, hii ni kawaida au ni mimi tu niko "as a special case".

Naombeni ushauri wadau nifanye nini? Maana wanawake wazuri wote wameshachukuliwa na wajanja na wanawazalisha tu.

Au nijaribu Kenya na Rwanda?

Inaniuma sana!
Usikute nyota yako ilishachezewa ili uonekana zwazwa tu kwa mademu.
 
Hahahaaa kosa lako kubwa sana unalolifanya unakuwa very desperate around them, women can smell desperation from miles away.

Ever wondered why it is easier to add a fourth girlfriend than a first one? Because at that point you don't care about her response. That don't care attitude gets ladies turned on.

Mwambie manzi yeyote umtakaye mkutane place X for nyama choma and imply that you expect sex soon. In my years as a fisi I have concluded that women like men that other women want. It is 100 times easier to get a third sidechick than a first one.

In my experience, if a woman knows that you have other side chics, hamtasumbuana. She will join that list with minimal resistance because that's how their brains work.
 
No matter what women say, deep down, they want you to take charge. That's why they let you pick the place and time for a date. Be decisive!

Usimpe nafasi for negotiations. Akikuambia I'm busy, usimbembeleze. Next her na usonge mbele. Always show them you have options hiki ndicho kinachokupa thamani kama mwanaume.
 
Nina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi".

Nikiwacheki hao wanaume wengine ni wa kawaida tu kulinganisha na mimi lakini wanapata wanawake na wanawazalisha kama kuku.

Nikiwa na hamu ya tendo mpaka "ninunue"

Nimekuwa natafuta mwanamke wa kuoa lakini kila msichana ninayemuapproch hunijibu "nina mtu wangu". Sasa najiuliza Mbona hawa wanawake kutwa wanalalamika hawaolewi? Wakati kila mtu ana mtu wake?

Huwa nashangaa ninavyosikia mademu wa kihaya na warangi kuwa warahisi sana.. Mbona mimi nawaona wagumu hasa wahaya kuna mmoja nilitongoza juzi kanichimba mkwara nisimfatefate.

Inaniuma sana wadau kuona "mazwazwa" wanamiliki pisi kali huko mitaani halafu mimi mzee wa kazi a.k.a ngoma ngumu nabaki kubambia mito usiku.

Je, hii ni kawaida au ni mimi tu niko "as a special case".

Naombeni ushauri wadau nifanye nini? Maana wanawake wazuri wote wameshachukuliwa na wajanja na wanawazalisha tu.

Au nijaribu Kenya na Rwanda?

Inaniuma sana!
Umerogwa. Tafuta aliekuroga kama hajafariki.
 
Acha zinaa umri ushaanza kukuacha mkono. Kama unahitaji mke shirikisha ndugu jamaa na marafiki wa karibu nakwambia hautopata shida, ikiwa kama unataka kudanga tu basi fata ushauri wa wadau wengi humu.
 
Hahahaaa kosa lako kubwa sana unalolifanya unakuwa very desperate around them, women can smell desperation from miles away.

Ever wondered why it is easier to add a fourth girlfriend than a first one? Because at that point you don't care about her response. That don't care attitude gets ladies turned on.

Mwambie manzi yeyote umtakaye mkutane place X for nyama choma and imply that you expect sex soon. In my years as a fisi I have concluded that women like men that other women want. It is 100 times easier to get a third sidechick than a first one.

In my experience, if a woman knows that you have other side chics, hamtasumbuana. She will join that list with minimal resistance because that's how their brains work.
Thanks man for your invaluable experience and advice!
 
Back
Top Bottom