The genius62
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 200
- 168
Baki kwenye Tecno mzee,hii Dunia ina machaguo mengi sana hauwezi kuyafanya yote lazima utofautiane na wenzio tu.
Kwangu mimi iPhone ni tafsiri sahihi ya neno simu nina-enjoy kuliko unavyodhania kama vile matumizi ya simu yanavyotaka tatizo watu wengi ambao ni Android addict wanataka kugeuza simu kila kitu walale umo umo,simu ipike pilau,simu abandike maji ya kuoga yaani vurumai tupu ndio maana mnalalama kua iOS sio friendly ni mazoe yenu ya kuzoazoa.
Kuna toleo linazinduliwa tarehe 21.09.2018.Mtoa maada umechambua vyema Sana upo sahihi.ila Mimi simu ya ndoto zangu SI Ni iphone kwa kweli yaani nikipata tu hela lazima ninunue iPhone nijionee mwenyewe.sijawahi hata kushika iPhone wenye nazo wachoyo kweli
Yaani ni sawa na kulinganisha Benz vs ToyotaMtoa mada usije ukajaribu kuitumia ata i phone 5s achana na 8 plus uko..maana ata kama ni mwakani lazma utaichambua hii thread yako uizike..mm nimetumia simu zote kali ila i phone haina mpinzani..
Sijui chochote kuhusu uwepo wa clones za iphones.Bro ukiacha ushabiki wa Marketing campaigns na celeb quips, ni watanzania asilimia ngapi wanaweza kimbizana na Apple "as the Luxury brand" na sio ile iliyowapa iPhone 6 - 8s? Na kama hujui tu, kuna clone nyingi sana za iPhones Bongo. So sio mtu ukute unatumia clone ya 300k af unakuja flaunt yourself as if na wewe unamiliki genuine thing!
Na tunakoelekea huko kwenye luxury brand, clone zitakuwa mingi tu...so happy cloning kwa majority, na kwa wale wachache genuine, diehard Apple fanboys happy spending!
(Na kila mtu abaki kwenye mapendeleo yake. Ninayozungumza ni mawazo yangu tu. Na hayana uamuzi juu ya Personal preference. Hapa ni kuelimishana, kujuzana, kujaribiana uwezo wa kufikiri na kuwasilisha hoja, na kusukuma mjadala!)
Sent from my MI 5 using JamiiForums mobile app
Zipo tu bro! Wateja OG wa long time wanajua tofauti ila wale wafuata mkumbo na mifuko hairuhusu ndo wanakamataga sana clones.Sijui chochote kuhusu uwepo wa clones za iphones.
Ila nnachojua kwamba, apple wana wateja wao na wanajitambua. Ukihangaika na hizo clones wewe sio mteja wao.
Dunia ni kubwa kama kuna nchi kama kuna nchi 232 ktk nchi izo ziwe na viongozi muhimu wakinunua na watu wengine kama wafanyabihashara maarufu wakinunua tayari ni Market Target. Na wengine wanaonunua kwa wingi ni majambazi, drugs dealers, magaidi, watu maarufu ndio market Target, wazungu na waarabu wananunua sana iPhone kwa ajili ulinzi wa ishu zaoNi sawa na tuseme iOs ni mfungwa ktk gereza lenye ulinzi mkali na ndani anapata malazi mavazi na chakula kizurih tatizo kutoka nje ndio msala.
Na android ni raia walio uraiani wakipambana kula kuvaa na kulala vizuri huku wakiwa huru kwa sehemu kubwa kwenda wanapotaka.
Sasa kwa mfano huo utajua nani anayafurahia matumizi ya simu janja hizi.
Ulii'root?Wakuu naomba msaada hii simu ni note 3 lakini nikitaka kuupdate inaandika namna hii je nifanyajeView attachment 873023
hapana mkuuUlii'root?
Basi itakuwa ilikuwa discontinued kwenye device zinazoendelea kupokea updates.hapana mkuu
Basi itakuwa ilikuwa discontinued kwenye device zinazoendelea kupokea updates.
Kwa nijuavyo mimi device ikishakuwa disco'ed basi hakuna tena namna nyingine. Na sio tu kwa device updates, hata pia kwa Android versions. Leo hii simu za 2013 zina kikomo kwa Android gani ndo mwisho wake kuna zingine mwisho wao ni Android KitKat, zingine Lolipop, etc.kwahiyo ndo basi tena mkuu?
Kwa nijuavyo mimi device ikishakuwa disco'ed basi hakuna tena namna nyingine. Na sio tu kwa device updates, hata pia kwa Android versions. Leo hii simu za 2013 zina kikomo kwa Android gani ndo mwisho wake kuna zingine mwisho wao ni Android KitKat, zingine Lolipop, etc.