Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

Hata iphone 6 ina latest version ya ios why unaspend kununua iphone 6s, 7 ama 8?
I wouldnt spend my money on a new phone just because ni latest. That is my point, iphone 6 inatosha kwa iphone, if you need an upgrade basi uende kwa X sio 7 au 8.

Mi, Oppo na wenzao wanakuja na simu kali tu za android, sasa why spend more on samsung if you get the same taste of software?
 
Ni simu nzuri lakini unaweza kufanana ubora na nyingine.

Wamefaulu sana ktk marketing, wametengeneza product worshiping kiasi kwamba mjanja lazma awe na iPhone
 
Matumizi ya iphone na brand nyingine yanatofautiana kwenye kutaka sifa tuu. Ila kwa mtu anayedeal na games na social network kwa sehem kubwa ya matumizi yake makubwa ktk simu yake bila shaka iphone hana mpinzani kwenye sekta hyo. ila kwa mengine yaliyobakia iphone inakua toy tuu kulinganisha na brand bora za android.
 
Usalama je?
Ni sawa na tuseme iOs ni mfungwa ktk gereza lenye ulinzi mkali na ndani anapata malazi mavazi na chakula kizurih tatizo kutoka nje ndio msala.
Na android ni raia walio uraiani wakipambana kula kuvaa na kulala vizuri huku wakiwa huru kwa sehemu kubwa kwenda wanapotaka.

Sasa kwa mfano huo utajua nani anayafurahia matumizi ya simu janja hizi.
 
1. Flagship ya oppo entry device inaanzia dola 1000 kuendelea, same kwa mchina mwengine ambaye ataweka latest specification kwenye simu yake, simu inauzwa bei rahisi sababu inakuwa haina vitu fulani. Same kwa wengine kama kina huawei flagship zao baadhi zinazidi hadi dola 1000. Huyo samsung nae pia ana vimeo vyake vinauzwa rahisi kama simu za kichina mfano on series.

2. Hayo ni matumizi yako, wengine matumizi yao yanahitaji simu kubwa zaidi, kuna watu matumizi yao ile simu ya kisasa zaidi haiwezi yatimiza hivyo ananunua yenye nguvu zaidi kila mwaka ili aweze kuyatimiza hayo matumizi angalau kwa asilimia kadhaa.

Mfano game jipya la android ambalo ni port ya pc linaitwa fortinite linahitaji hizi specs.
-Ram 3GB
-free space 3GB
-GPU adreno 530 na mali G72 MP12 ama zaidi

Hizo gpu zote ni flagship class GPU hakuna kisimu cha mwenzangu na mimi kitachorun hata kiwe na oreo ama android pie, sasa mtu hela anayo anataka kucheza hilo game kwanini asinunue kitu roho inapenda?

Hilo ni moja bado kuna emulation, conversion, multitasking, note taking, display quality, camera, warranty nzuri etc vyote vinapatikana kwa ubora zaidi kwenye simu highend kuliko simu lowend ama za zamani.
 
Kwani kama Android ina password na mtu akaiba au kuokota ataweza kuifungua?
Anairetore simu nyingi latest za android ukirestore hazifuti vitu kama picha na miziki zinafuta apps tu, then kama itadai google acc una reset frp ni rahisi tu then back in business anakuta takataka zako
 
Kama mtu ananunua simu kwa kipendacho roho hayo mengine, lakini tuzungumzie functionality ya simu kwa kutizama specs, je zinatumika ipasavyo au zinatumika kuwalaghai watu tu?

Kuwa na specs kubwa haimaanishi kuwa device yako ndio bora, ila opimization ya software na hardware ndio itafanya device yako ionekane bora, na hapa ndipo anapowapiga bao kina samsung, htc, oppo na wengine.

Android ni chaos
 
Mkuu toka kitkat kuendelea na vitu kama project treble advantage ya software optimization kila siku anapoteza Apple.

Siku hizi simu za android zina boot haraka, zinafungua apps upesi, zinafanya multitasking vizuri kushinda iphone. Sipendi kucompare simu kwa hivi vitu sababu ni utofauti wa sekunde tu ila sababu wewe unapenda angalia video.


Everythingapllepro ame upload hio video fan wa iphone na mwenyewe amekiri.

Hapo bado Android unaweza ukaifanya iwe faster zaidi kwa kudisable animations.
 

Siku ukipata uwezo wa kuzitumia ndo utajua utanu wake
 

Mmmhhh tupe mfano kama unao
 
Uifananishe iphone 8plus na note 4 au s3?

Huwezi kuwa upo serious. Tumia kuanzia s8 na kuendelea ndo utajua utamu wa samsung

Kuna utofauti wa iOS na Android
Tatizo ni iOS wameibania kusiwe na wiziwizi na ujanjajanja
 

Ichi ndo kilinifanya nigomeshe kununua s8 enzi hizo, ila kwa kuiona kwa mbal niliipenda sana
 

Tatizo ni kuwa anatumia display ya sumsung af display yake ni nzr kuliko sumsung
 
Yaani ndivyo ilivyo ukishaanza kutumia bidhaa za Apple unakuwa addicted as if ni mtumiaji wa cocaine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…