Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,891
Habari wandugu,
Wenzetu wazungu wanujuzi sana wa madini, wanafundishwa shuleni. Mzungu nu rahisi kutambua Ruby, dhahabu au almasi akiiona.
Lakini mbongo hata anafika form six hawezi tambua madini aina yoyote. Kama elimu inamuwezesha mtu kupambana na mazingira yake, na mazingira yetu yamejaa madini, kwa nini hatufundishi somo la madini, upatikanaji na uchimbaji wake shuleni?
Elimu ambayo itamuwezesha mhitimu kujijiri kwenye uchimbaji akimaliza.
Wenzetu wazungu wanujuzi sana wa madini, wanafundishwa shuleni. Mzungu nu rahisi kutambua Ruby, dhahabu au almasi akiiona.
Lakini mbongo hata anafika form six hawezi tambua madini aina yoyote. Kama elimu inamuwezesha mtu kupambana na mazingira yake, na mazingira yetu yamejaa madini, kwa nini hatufundishi somo la madini, upatikanaji na uchimbaji wake shuleni?
Elimu ambayo itamuwezesha mhitimu kujijiri kwenye uchimbaji akimaliza.