Kwanini Serikali imesamehe Shilingi Trilioni 424?

Kwanini Serikali imesamehe Shilingi Trilioni 424?

Nimeweka hapa ili tupeane ufafanuzi. Kiasi tajwa ilikuwa ni thamani ya madini au kodi ambayo serikali ilipaswa kulipwa kwa kikokotoo cha thamani halisi ya madini yaliyomo ndani ya makinikia hayo.
 
..waliokubali kuziachia usd 191 billion na badala yake kuchukua usd 300 million ni MAFISADI, na WASALITI.

..haiwezekani tutangaziwe VITA YA KIUCHUMI dhidi ya makampuni ya madini halafu vita hiyo inamalizika kwa Tz kupata less than 1% ya tunachokidai.
 
Tanzania sio wa kwanza ku-negotiate na mabeberu.

Na kwenye negotiations kuna win-lose; give and take.

Hatujapata Tril zaidi ya 400 kama fine na penalty.

Tumepata 16% ya hisa kwenye kampuni mpya.

Tumepata kishika uchumba USD 300mil

Ofisi mpya inajengwa Mwanza kama makao makuu.

Watz kuwa sehemu ya management.

Fedha za mauzo kuwekwa kwenye bank za ndani.
Manufaa ya kiuchumi ya 50/50.

ZZK anaepinga na kukandia alikuwa kwenye kamati ya Bomani; wao walitupa nini baada ya kuzunguka nchi nzima?

JPM kajitahidi sana sana kuliko mrahaba wa 3% na baadae 4% ya taarifa ya Fedha wanayoandaa wawekezaji.

Kwa sasa Watanzania tunakuwa sehemu ya bodi hali kadhalika kwenye management.
Changamoto ni kupata watu waaminifu ambao wakiwa kwenye bodi na management; walinde maslahi ya Watanzania.

..Kikwete aliweza kuwakamua usd 700 million bila makelele.

..na waTz wamekuwa wakiajiriwa kwenye makampuni yanayochimba madini.

..umemsahau Deo Mwanyika alikuwa na wadhifa gani ktk accacia / barrick?

..hata waziri kalemani aliwahi kuajiriwa na moja ya makampuni ya uchimbaji madini.
 
..waliokubali kuziachia usd 191 billion na badala yake kuchukua usd 300 million ni MAFISADI, na WASALITI.

..haiwezekani tutangaziwe VITA YA KIUCHUMI dhidi ya makampuni ya madini halafu vita hiyo inamalizika kwa Tz kupata less than 1% ya tunachokidai.

Vita vya uchumi halafu wamesarenda!

Yaani ni sawa na Unamdai mtu Tembo anakulipa Sungura halafu unatoka hapo unashangilia.
 
Unauliza swali wakati jibu umeshajibu kwenye mada yako!

Yaani unaiuliza serikali wakati hapo hapo unasema jibu litapatikana ikija serikali nyingine! Sasa unataka jibu gani zaidi ya ulilojijibu?

Subiri hiyo serikali yako mpya ikija utapata jibu lako!

Kanuni za majadiliano ni pamoja na kupata mwafaka kwa pande zote mbili kwa faida ya muda mfupi au mrefu. Majadiliano hayana sheria bali yana mwongozo.
Mkuu swali la msingi ni kwamba, kwanini serikali ya wanyonge imeamua kusamehe hayo matrillion yote? ina maana serikali ilikua ina danganya?
 
Hakuna utafiti wowote walioufanya wakina prof. Mruma isipokuwa waliamua tu kutufanya wajinga kwa kuwa walijua tunaongozwa na washamba wasioweza kuchanganua mambo.

Ilikuwa ni aibu kusikiliza na kuikubali ripoti ya kiuendawazimu kama ile.
 
Huwezi jua kwa nini zimesamehewa...

Labda process na gharama za kuzidai inaweza gharimu mara mbili zaidi ya unachodai...


Cc: mahondaw
 
Mwalimu Kichuguu bado yupo kwenye denial

..kosa la kiufundi walilolifanya ni kujiaminisha kuwa accacia ni mashetani na barrick ni malaika.

..mkakati wa mabeberu ulikuwa ni accacia kutubinya kwa kutufungulia kesi ktk mahakama ya kimataifa, huku barrick wakitulaghai kwa kufanya mazungumzo na serikali.

..barrick ameweza kufanya mambo mawili dhidi yetu. Kwanza, amewachomoa minority share holders wa accacia kwa kuwalipa kiasi walichokitaka. Pili, ametulazimisha kuachana na madai ya usd 191 billion na kuzitupilia mbali ripoti za Prof.Mruma na Prof.Ossoro.

..Binafsi baada ya kusomwa ripoti zile, na mahasira na kujimwambafy alikoonyesha Jpm, ungeniambia matokeo yake yangekuwa haya ningekupiga makofi.

Cc Chige
 
..kosa la kiufundi walilolifanya ni kujiaminisha kuwa accacia ni mashetani na barrick ni malaika.

..mkakati wa mabeberu ulikuwa ni accacia kutubinya kwa kutufungulia kesi ktk mahakama ya kimataifa, huku barrick wakitulaghai kwa kufanya mazungumzo na serikali.

..barrick ameweza kufanya mambo mawili dhidi yetu. Kwanza, amewachomoa minority share holders wa accacia kwa kuwalipa kiasi walichokitaka. Pili, ametulazimisha kuachana na madai ya usd 191 billion na kuzitupilia mbali ripoti za Prof.Mruma na Prof.Ossoro.

..Binafsi baada ya kusomwa ripoti zile, na mahasira na kujimwambafy alikoonyesha Jpm, ungeniambia matokeo yake yangekuwa haya ningekupiga makofi.

Cc Chige

Wanasema eti ugomvi wetu haukuwa na Barrick bali ACACIA, sasa cha ajabu Wezi wetu yaani ACACIA wameuza share zao zote kwa huyohuyo Barrick aliyekuwa na hisa nyingi humohumo ndani ya ACACIA, Shareholders waliobaki wamepata mipesa yao bila sisi kutulipa Trilion zetu zote! Kisha wametambaa!
 
Ndugu zangu
Kwa mujibu wa uchunguzi na utafiti ulioendeshwa na wataalamu wetu profesa Mruma na Profesa Osoro ilibainika wazi kabisa kuwa Watanzania tulikuwa tukiibiwa na kampuni ya ACACIA katika madini yetu hususan kupitia mchanga wa makinikia.

Kwa mujibu wa Utafiti huo ilibainishwa kuwa pamoja na dhahabu walizokuwa wakikomba, walikuwa wakikombana madini mengineyo kama vile copper, chuma, cobalt na mengineyo yenye thamani.

Uchunguzi ulionyesha kuwa kwa muda mzima walio-operate nchini, ACACIA wametuibia takriban dola bilion 190 ambazo ni takriban sawa na shilingi Trilion 424.

Hizi ni pesa nyingi, nyingi, nyingi mno. Cha kushangaza ni kwamba serikali hii iliyounda tume na kubaini haya IMESAMEHE HIZI PESA!

Mtu unajiuliza kama siyo Uhujumu Uchumi hii ni kitu gani?

Tulichoambulia eti ni kupewa asilimia 16 ya hisa kwenye madini yetu wenyewe huku Mabeberu yakiendelea kukomba asilimia 84 na kutuachia vijisenti vya Dola milion 300 ambayo haifiki hata TRLION moja, Yaani Tumesamehe Trilion 424 ili Tupewe vihela ambavyo havifiki hata TRILION 1, Tumerogwa?

Katika vitu ambavyo serikali inayokuja inapaswa kufanya baada ya awamu hii kutoka madarakani ni kuwachukulia hatua wale wote waliosamehe hizi Trilion 424.

Mimi najiuliza, Bajeti yetu ya kila mwaka haifiki Trilion 40, Halafu leo hii unasamehe Trilion 424 ambayo ni bajeti ya nchi ya miaka 10 na tena hapo bila kutembeza bakuli kwa wahisani!

Serikali itupe majibu, Isijifanye kuweka Ukimya ili kutusahaulisha

KWA NINI IMUACHIE MWIZI ASEPE NA TRILION ZETU 424?
Wezako walivofikia kuua tundu lisu hawakua wajinga,(miga miga miga migaaaaaaaaa
 
Ndugu zangu
Kwa mujibu wa uchunguzi na utafiti ulioendeshwa na wataalamu wetu profesa Mruma na Profesa Osoro ilibainika wazi kabisa kuwa Watanzania tulikuwa tukiibiwa na kampuni ya ACACIA katika madini yetu hususan kupitia mchanga wa makinikia.

Kwa mujibu wa Utafiti huo ilibainishwa kuwa pamoja na dhahabu walizokuwa wakikomba, walikuwa wakikombana madini mengineyo kama vile copper, chuma, cobalt na mengineyo yenye thamani.

Uchunguzi ulionyesha kuwa kwa muda mzima walio-operate nchini, ACACIA wametuibia takriban dola bilion 190 ambazo ni takriban sawa na shilingi Trilion 424.

Hizi ni pesa nyingi, nyingi, nyingi mno. Cha kushangaza ni kwamba serikali hii iliyounda tume na kubaini haya IMESAMEHE HIZI PESA!

Mtu unajiuliza kama siyo Uhujumu Uchumi hii ni kitu gani?

Tulichoambulia eti ni kupewa asilimia 16 ya hisa kwenye madini yetu wenyewe huku Mabeberu yakiendelea kukomba asilimia 84 na kutuachia vijisenti vya Dola milion 300 ambayo haifiki hata TRLION moja, Yaani Tumesamehe Trilion 424 ili Tupewe vihela ambavyo havifiki hata TRILION 1, Tumerogwa?

Katika vitu ambavyo serikali inayokuja inapaswa kufanya baada ya awamu hii kutoka madarakani ni kuwachukulia hatua wale wote waliosamehe hizi Trilion 424.

Mimi najiuliza, Bajeti yetu ya kila mwaka haifiki Trilion 40, Halafu leo hii unasamehe Trilion 424 ambayo ni bajeti ya nchi ya miaka 10 na tena hapo bila kutembeza bakuli kwa wahisani!

Serikali itupe majibu, Isijifanye kuweka Ukimya ili kutusahaulisha

KWA NINI IMUACHIE MWIZI ASEPE NA TRILION ZETU 424?
Hizo pesa kuna uwezekano zimetiwa katika akaunti za fisiemu ili ziwafae katika chaguzi hii na ile... hivi management ya Twiga na Akashia ziko tofauti?
 
Wanasema eti ugomvi wetu haukuwa na Barrick bali ACACIA, sasa cha ajabu Wezi wetu yaani ACACIA wameuza share zao zote kwa huyohuyo Barrick aliyekuwa na hisa nyingi humohumo ndani ya ACACIA, Shareholders waliobaki wamepata mipesa yao bila sisi kutulipa Trilion zetu zote! Kisha wametambaa!
TIA = THIS IS AFRICA
 
Ni Tanzania kuiwekea Canada vikwazo vya kiuchumi na kijamii ili nchi hiyo ilazimishe Barrick ilipe deni hilo la mtoto wake ACACIA😃😃😃😃😃. Ikumbukwe lile beberu kubwa linalomiliki Barrick Gold linaishi Toronto na ndipo ilipo makao makuu ya kampuni hiyo pia
Hizo ni ndoto...
 
na tutambue kuwa hii kesi in a long term tutaathirika mno,maana wawekezaji wa madini wame I RED FLAG nchi yetu na tumo namba 2 kutoka chini kwa nchi ambazo ni HIGH RISK KUWEKEZA KWENYE NYANJA HII YA MADINI.
Uongo
 
umetoa ufafanuzi mzuri..
unachotakiwa kuelewa hizo nyingine ni siasa za udaku... kama hawakulipa hayo ma trilions wamerekebisha shares ni all the same.

tutapata more trilionz kwa 16%
Tanzania sio wa kwanza ku-negotiate na mabeberu.

Na kwenye negotiations kuna win-lose; give and take.

Hatujapata Tril zaidi ya 400 kama fine na penalty.

Tumepata 16% ya hisa kwenye kampuni mpya.

Tumepata kishika uchumba USD 300mil

Ofisi mpya inajengwa Mwanza kama makao makuu.

Watz kuwa sehemu ya management.

Fedha za mauzo kuwekwa kwenye bank za ndani.
Manufaa ya kiuchumi ya 50/50.

ZZK anaepinga na kukandia alikuwa kwenye kamati ya Bomani; wao walitupa nini baada ya kuzunguka nchi nzima?

JPM kajitahidi sana sana kuliko mrahaba wa 3% na baadae 4% ya taarifa ya Fedha wanayoandaa wawekezaji.

Kwa sasa Watanzania tunakuwa sehemu ya bodi hali kadhalika kwenye management.
Changamoto ni kupata watu waaminifu ambao wakiwa kwenye bodi na management; walinde maslahi ya Watanzania.
 
Back
Top Bottom