Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,993
Tunakunaliana na Lissu ....
mtetezi wa Acacia...
JPM amefanya maamuzi ya kijinga sana.
hatuna sababu ya kushukuru kulipwa kidogo.
hatuna sababu ya kushukuru hisa kupanda.
Wafuasi wa Lissu tuna akili sana
mtetezi wa Acacia...
JPM amefanya maamuzi ya kijinga sana.
hatuna sababu ya kushukuru kulipwa kidogo.
hatuna sababu ya kushukuru hisa kupanda.
Wafuasi wa Lissu tuna akili sana
hisa 16% na wao 84%
Yaani unamaanisha tumenunua hivyo vi hisa kiduchu kwa Trilion zetu 424?. Pesa ambayo thamani yake ni bajeti ya nchi yetu kwa miaka zaidi ya 10 bila kuhitaji kusaidiwa na wahisani

