mkuu wa kijiji
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 966
- 1,056
Unauliza swali wakati jibu umeshajibu kwenye mada yako!
Yaani unaiuliza serikali wakati hapo hapo unasema jibu litapatikana ikija serikali nyingine! Sasa unataka jibu gani zaidi ya ulilojijibu?
Subiri hiyo serikali yako mpya ikija utapata jibu lako!
Kanuni za majadiliano ni pamoja na kupata mwafaka kwa pande zote mbili kwa faida ya muda mfupi au mrefu. Majadiliano hayana sheria bali yana mwongozo.
Msingi wa majadiliano ni chukua nikupe (take and give)! Sasa ulitaka serikali ichukue vyote kwenye majadiliano?
sheria/mwongozo wa chukua vyote uko mahakamani na sio kwenye majadiliano.
Basi kama hata tupate Robo ya 190 $ billion