Kwanini Serikali imesamehe Shilingi Trilioni 424?

Kwanini Serikali imesamehe Shilingi Trilioni 424?

Unauliza swali wakati jibu umeshajibu kwenye mada yako!

Yaani unaiuliza serikali wakati hapo hapo unasema jibu litapatikana ikija serikali nyingine! Sasa unataka jibu gani zaidi ya ulilojijibu?

Subiri hiyo serikali yako mpya ikija utapata jibu lako!

Kanuni za majadiliano ni pamoja na kupata mwafaka kwa pande zote mbili kwa faida ya muda mfupi au mrefu. Majadiliano hayana sheria bali yana mwongozo.

Msingi wa majadiliano ni chukua nikupe (take and give)! Sasa ulitaka serikali ichukue vyote kwenye majadiliano?

sheria/mwongozo wa chukua vyote uko mahakamani na sio kwenye majadiliano.

Basi kama hata tupate Robo ya 190 $ billion
 
Lissu aliita hiyo report Professorial rubbish. Alikuwa Sawa. Kama migodi mitatu ingekuwa inatoa faida hivyo basi nchi kama Botswana au Namibia Wangekuwa wanaishi peponi kwa madini waliyonayo.

..wamepewa mlungula ndiyo maana wakaachana na madai wakaanza mazungumzo na kukubali kishika uchumba.
 
Tanzania sio wa kwanza ku-negotiate na mabeberu.

Na kwenye negotiations kuna win-lose; give and take.

Hatujapata Tril zaidi ya 400 kama fine na penalty.

Tumepata 16% ya hisa kwenye kampuni mpya.

Tumepata kishika uchumba USD 300mil

Ofisi mpya inajengwa Mwanza kama makao makuu.

Watz kuwa sehemu ya management.

Fedha za mauzo kuwekwa kwenye bank za ndani.
Manufaa ya kiuchumi ya 50/50.

ZZK anaepinga na kukandia alikuwa kwenye kamati ya Bomani; wao walitupa nini baada ya kuzunguka nchi nzima?

JPM kajitahidi sana sana kuliko mrahaba wa 3% na baadae 4% ya taarifa ya Fedha wanayoandaa wawekezaji.

Kwa sasa Watanzania tunakuwa sehemu ya bodi hali kadhalika kwenye management.
Changamoto ni kupata watu waaminifu ambao wakiwa kwenye bodi na management; walinde maslahi ya Watanzania.
Mrahaba wa 4%!!! Ambao hata wenyewe hautekelezwi Kwa asilimia 100%: waulize halmashauri zilizo na migodi watakuambia hata hiyo 4% utekelezaji wake ni wa mbinde!!
 
Unauliza swali wakati jibu umeshajibu kwenye mada yako!

Yaani unaiuliza serikali wakati hapo hapo unasema jibu litapatikana ikija serikali nyingine! Sasa unataka jibu gani zaidi ya ulilojijibu?

Subiri hiyo serikali yako mpya ikija utapata jibu lako!

Kanuni za majadiliano ni pamoja na kupata mwafaka kwa pande zote mbili kwa faida ya muda mfupi au mrefu. Majadiliano hayana sheria bali yana mwongozo.

Msingi wa majadiliano ni chukua nikupe (take and give)! Sasa ulitaka serikali ichukue vyote kwenye majadiliano?

sheria/mwongozo wa chukua vyote uko mahakamani na sio kwenye majadiliano.
Haya ndiyo majibu kwa mleta hoja?Utetezi gani huu wa kujustify kupoteza 420+Trillions? Hakika hatupo salama kama nchi,nani kawasamehe hawa wezi?In exchange with what?
 
ACACIA wameandika barua kwa DPP ya kukiri na kuomba msamaha na wamekubaliwa kulipa kulingana na urefu wa kamba!
DPP?Ndiyo mwakilishi wa maslahi mapana ya Watanzania?Huyu ndiye aliwapa kazi ya kuchunguza uozo katika sekta ya madini kina Professor Mruma,Ossoro & Company?
 
Tanzania sio wa kwanza ku-negotiate na mabeberu.

Na kwenye negotiations kuna win-lose; give and take.

Hatujapata Tril zaidi ya 400 kama fine na penalty.

Tumepata 16% ya hisa kwenye kampuni mpya.

Tumepata kishika uchumba USD 300mil

Ofisi mpya inajengwa Mwanza kama makao makuu.

Watz kuwa sehemu ya management.

Fedha za mauzo kuwekwa kwenye bank za ndani.
Manufaa ya kiuchumi ya 50/50.

ZZK anaepinga na kukandia alikuwa kwenye kamati ya Bomani; wao walitupa nini baada ya kuzunguka nchi nzima?

JPM kajitahidi sana sana kuliko mrahaba wa 3% na baadae 4% ya taarifa ya Fedha wanayoandaa wawekezaji.

Kwa sasa Watanzania tunakuwa sehemu ya bodi hali kadhalika kwenye management.
Changamoto ni kupata watu waaminifu ambao wakiwa kwenye bodi na management; walinde maslahi ya Watanzania.
Kama hichi ndicho tulichopata inamaana kilichodaiwa na kamati hakikuwa na uhalisia wowote na ni proffesorial rubbish.
 
Unataka kutuaminisha kuwa serikali ya awamu ya tano na hao wahenga wanafanana akili?Tunaenda kinyumenyume kama nchi?
Kama ni uwendawazimu ulianzia kwa mababu zako waliopokea gololi na kutoa almasi!
 
..nilichoka walivyoita WASANII ambao waliimba kabla ripoti haijawasilishwa.

..sijaona popote ripoti za uchunguzi , za kitaalamu , zikiwasilishwa baada ya wasanii kitumbuiza.

..ripoti zile ziliwasilishwa kwa USHABIKI mkubwa, na serikali na JPM, kwa maoni yangu, wali-OVERPROMISE lakini kwa matokeo haya wame-UNDERDELIVER. Wametuangusha.

NB.

..na hapa bado hatujaangalia kilichomo kwenye makinikia.

..Jpm alidai mwenye yale makonteina kuna dhahabu inayojaa lumbesa kwenye lori saba za tipper, na landrover moja.

..Je, madai hayo ni ya kweli?
Mkuu kuna hesabu ngumu sana kuzijua hususan linapokuja kufananishwa kwa vipimo babaishi kama hayo matipa na ma landrover...
Unajiuliza hiyo tipper ni canter, txd50, scania 124 au dumper? Je na hiyo landrover ni short au long base? 110 au freelander? Si neno itutoshe kujua ni matipa na landrova moja!!!
Heri kenda chukua kuliko....
 
Unataka kutuaminisha kuwa serikali ya awamu ya tano na hao wahenga wanafanana akili?Tunaenda kinyumenyume kama nchi?
Kama hao Babu zangu walikuwa wapumbavu,kwa nini mnafanya maamuzi ya Kitaifa kwa mtindo wao.Hata hivyo wale walikuwa hawana Doctorate, Professerial Intelligence kama waliosamehe Trillions zetu tulizoibiwa.Pia walipeana vipande vya Almasi na siyo fedha ya Wananchi wa Tanzania kiasi kinachozidi bajeti ya serikali kwa miaka zaidi ya 10.
Hujajibu swali,ni kina Kabudi na nani wenye uwezo wa kusamehe wezi?Nani kawatuma?Watajeni tuhangaike nao.
 
Back
Top Bottom