Ama kweli udini umewaklia vibaya.Yaani mtu unawaza kuleta thread kama hii! ni kukosa kazi au?
Wengine wanachekesha eti jk awaachie nchi yao,nchi ipi hiyo? sikujua kuna watu wanjiona wtz zaidi ya wengine. Ukimuuliza huyu anaesema eti jk amwachie nchi yake utakuta yeye ndo sio mtz.Au kama anamaanisha hii ni nchi ya wakristu nadhani amepagawa.Maana ukristu umeingia nchini karne moja iliyopita wakati uislam upo tangia karne ya saba.Hat hii lugha adhimu ya kiswahili unayojivunia ni zao la dini ya kiislam.JK endelea kufanya mema kwa nchi yako achana na hwa vizabzabina wachache wanaofisidi muda wa kazi kuleta majungu,umma tuko nyuma yako hakugusi mtu
Wengine wanachekesha eti jk awaachie nchi yao,nchi ipi hiyo? sikujua kuna watu wanjiona wtz zaidi ya wengine. Ukimuuliza huyu anaesema eti jk amwachie nchi yake utakuta yeye ndo sio mtz.Au kama anamaanisha hii ni nchi ya wakristu nadhani amepagawa.Maana ukristu umeingia nchini karne moja iliyopita wakati uislam upo tangia karne ya saba.Hat hii lugha adhimu ya kiswahili unayojivunia ni zao la dini ya kiislam.JK endelea kufanya mema kwa nchi yako achana na hwa vizabzabina wachache wanaofisidi muda wa kazi kuleta majungu,umma tuko nyuma yako hakugusi mtu