Nimekuwa nikifatilia kwa miongo mingi sasa viongozi wengi madikiteta wakipinduliwa huwa wanatafuta hifadhi za kisiasa Saudi Arabia. Nitatoa mifano michache hapa
Hii ni mifano michache ! Kwanini wanakimbilia Saudi?
- Waziri mkuu wa zamani wa Pakistani Nawaz Sharif baada ya kuangushwa alikimbia Saudi Arabia
- Waziri mkuu wa Syria 1951 bw Ma'ruf al-Dawalibi Alikimbilia Saudia hadi alipokufa mwaka 2004
- Idd Amin dada raisi wa zamani wa Uganda aliyeangusha na majeshi ya Nyerere na yeye alikimbilia huko mwaka 1980 kuishi huko hadi kifo chake mwaka 2003
- Raisi wa zamani wa Tunisia Mh Zine el-Abidin Ben Ali naye baada ya kukimbia nchi Jan 16, 2011 amekimbilia Saudi Arabia
- Mzee mzima Pervez Musharraf baada ya kulazimishwa kujiuzulu naye alikimbia Saudi Arabia tangia 2008
Natamani hii maandamano makubwa yatokee hata kesho ili ------ akimbilie huko huko. Simtaki Tanzania. atuachie nchi yetu
Nimekuwa nikifatilia kwa miongo mingi sasa viongozi wengi madikiteta wakipinduliwa huwa wanatafuta hifadhi za kisiasa Saudi Arabia. Nitatoa mifano michache hapa
Hii ni mifano michache ! Kwanini wanakimbilia Saudi?
- Waziri mkuu wa zamani wa Pakistani Nawaz Sharif baada ya kuangushwa alikimbia Saudi Arabia
- Waziri mkuu wa Syria 1951 bw Ma'ruf al-Dawalibi Alikimbilia Saudia hadi alipokufa mwaka 2004
- Idd Amin dada raisi wa zamani wa Uganda aliyeangusha na majeshi ya Nyerere na yeye alikimbilia huko mwaka 1980 kuishi huko hadi kifo chake mwaka 2003
- Raisi wa zamani wa Tunisia Mh Zine el-Abidin Ben Ali naye baada ya kukimbia nchi Jan 16, 2011 amekimbilia Saudi Arabia
- Mzee mzima Pervez Musharraf baada ya kulazimishwa kujiuzulu naye alikimbia Saudi Arabia tangia 2008
mkuu acha kukrupuka kwan NAWAZ SHARIF ni dikteta na mbona karudi kuwa waziri mkuu tena wa pakistani
na hata huyo zine bin abedine bin ally alikimbilia saud arabia kwa matibabu na sio hifadhi ya kisiasa
PERVEZ MUSHARAF baada ya kuachia madaraka alikimbilia kwanza LONDON tafadhali hebu kuwaga na fact ndo uandike hoja huku