Kwanini Saudi Arabia?

perez musharaf alishindwa uingereza na sio Saudi Arabia. by the way ukipewa political asylum in saudia huru usiwe kufanya siasa ya aina yoyote ile ama sivyo unarudishwa kwenu ukachinjwe.
 
Nimekuwa nikifatilia kwa miongo mingi sasa viongozi wengi madikiteta wakipinduliwa huwa wanatafuta hifadhi za kisiasa Saudi Arabia. Nitatoa mifano michache hapa


  1. Waziri mkuu wa zamani wa Pakistani Nawaz Sharif baada ya kuangushwa alikimbia Saudi Arabia
  2. Waziri mkuu wa Syria 1951 bw Ma'ruf al-Dawalibi Alikimbilia Saudia hadi alipokufa mwaka 2004
  3. Idd Amin dada raisi wa zamani wa Uganda aliyeangusha na majeshi ya Nyerere na yeye alikimbilia huko mwaka 1980 kuishi huko hadi kifo chake mwaka 2003
  4. Raisi wa zamani wa Tunisia Mh Zine el-Abidin Ben Ali naye baada ya kukimbia nchi Jan 16, 2011 amekimbilia Saudi Arabia
  5. Mzee mzima Pervez Musharraf baada ya kulazimishwa kujiuzulu naye alikimbia Saudi Arabia tangia 2008
Hii ni mifano michache ! Kwanini wanakimbilia Saudi?

Ungeangalia hao wote ni dini gani ungepata mwanga kidooogo. Si jibu ila mwanga kuelekea kupata jibu.
 
Natamani hii maandamano makubwa yatokee hata kesho ili ------ akimbilie huko huko. Simtaki Tanzania. atuachie nchi yetu

WE mpuuzi kwel kila mara wawaza maandamano kwa kuwa huna kazi ya kufanya sie wenye kazi zetu tunaona hiyo ni njia
ya kihuni.Uandamane kwa lipi?
Na hata ukisema akimbilie huko akuachie nchi yenu wewe na nan? kwani yeye sio mwananchi halali ya nchi hii?
Wakat mwingine uwe unatumia akili mkuu
 
Nimekuwa nikifatilia kwa miongo mingi sasa viongozi wengi madikiteta wakipinduliwa huwa wanatafuta hifadhi za kisiasa Saudi Arabia. Nitatoa mifano michache hapa


  1. Waziri mkuu wa zamani wa Pakistani Nawaz Sharif baada ya kuangushwa alikimbia Saudi Arabia
  2. Waziri mkuu wa Syria 1951 bw Ma'ruf al-Dawalibi Alikimbilia Saudia hadi alipokufa mwaka 2004
  3. Idd Amin dada raisi wa zamani wa Uganda aliyeangusha na majeshi ya Nyerere na yeye alikimbilia huko mwaka 1980 kuishi huko hadi kifo chake mwaka 2003
  4. Raisi wa zamani wa Tunisia Mh Zine el-Abidin Ben Ali naye baada ya kukimbia nchi Jan 16, 2011 amekimbilia Saudi Arabia
  5. Mzee mzima Pervez Musharraf baada ya kulazimishwa kujiuzulu naye alikimbia Saudi Arabia tangia 2008
Hii ni mifano michache ! Kwanini wanakimbilia Saudi?

mkuu acha kukrupuka kwan NAWAZ SHARIF ni dikteta na mbona karudi kuwa waziri mkuu tena wa pakistani
na hata huyo zine bin abedine bin ally alikimbilia saud arabia kwa matibabu na sio hifadhi ya kisiasa
PERVEZ MUSHARAF baada ya kuachia madaraka alikimbilia kwanza LONDON tafadhali hebu kuwaga na fact ndo uandike hoja huku
 
mkuu acha kukrupuka kwan NAWAZ SHARIF ni dikteta na mbona karudi kuwa waziri mkuu tena wa pakistani
na hata huyo zine bin abedine bin ally alikimbilia saud arabia kwa matibabu na sio hifadhi ya kisiasa
PERVEZ MUSHARAF baada ya kuachia madaraka alikimbilia kwanza LONDON tafadhali hebu kuwaga na fact ndo uandike hoja huku

Mkuu mbona wewe mkali ? Tunarekebishana pole pole kama mtu kakosea!
 
Back
Top Bottom