Kwanini saba iwe moja kwenye masaa?

ebwana wewe bonge la genius umelezea sawa sawa, inagawa mie mwenywe nilikua sijui kwa nini tuna sema verse versa .
 
7-6=1
9-6=3
12-6= 6

Hence 666
Kwahyo 666 ni kwa waswahili tu?sababu wanaongea English 6 o'clock ni 6 o'clock.
 


hii ni mikakati ya masonic numbers....na kila namba ukiitoa hapo na namba yenyewe hubaki sita
mfano: 7 - 1 = 6
8 - 2 = 6
9 - 3 = 6 nk.
 
7-6=1
9-6=3
12-6= 6

Hence 666
Kwahyo 666 ni kwa waswahili tu?sababu wanaongea English 6 o'clock ni 6 o'clock.
hahahahaahah mbona mnaojibu hili suala la 666 mnachagua mifano mitatu tu ya masaa mnayotoa ili kuleta jibu 6, mfano ukichukua 7-1=6, 8-2=6, 10-4=6, 11-5=6, 12-6=6, hapo si tutapata 666666 ambayo haina maana yoyote
 
Mipango maalum ya wakubwa hiyo....jiongeze......666.
Hakuna 666 wala 777 hapo ni kama kumuachia mungu ukiona mtu kakata tamaa atakwambia namwachia mungu,jambo ukiona umeshindwa kupata solution unasingizia uchawi kumbe amna ni akili yako tu imefikia kiwango cha mwisho kufkiri
 
hahahahaahah mbona mnaojibu hili suala la 666 mnachagua mifano mitatu tu ya masaa mnayotoa ili kuleta jibu 6, mfano ukichukua 7-1=6, 8-2=6, 10-4=6, 11-5=6, 12-6=6, hapo si tutapata 666666 ambayo haina maana yoyote
Hujapata concept maana yake tu?basi we mzito kuelewa...hapo point ni 6.
 
Mambo ya illuminati kugeuza majira na mda.
Amua siku uianze saa 12:00. Asubui na mwaka mpya unasherehekea saa 12:00 asubui. Unafyatua fataki zako wala hutapata tatizo la kusoma saa.
 
Kati ya mswahili na mzungu ni nani aliyeanzisha mpangilio wa masaa? Nani yuko sahihi, mwanzilishi au aliyekopi?
 
Soma maandiko upate maarifa,Nae Ataazimu kubadili majira na Nyakati na Maarifa yataongezeka,chimbuko ni ROMA na Mamlaka na utawala wa PAPA wao wanamuita mtakatifu japo Anaugua na kufa,sitaki kuingilia dini za watu ila chimbuko LA haya yote ni Upapa
 
Soma maandiko upate maarifa,Nae Ataazimu kubadili majira na Nyakati na Maarifa yataongezeka,chimbuko ni ROMA na Mamlaka na utawala wa PAPA wao wanamuita mtakatifu japo Anaugua na kufa,sitaki kuingilia dini za watu ila chimbuko LA haya yote ni Upapa
Fikiri nje ya vifungo mahabusu ya akili zako.
 
Hakuna 666 wala 777 hapo ni kama kumuachia mungu ukiona mtu kakata tamaa atakwambia namwachia mungu,jambo ukiona umeshindwa kupata solution unasingizia uchawi kumbe amna ni akili yako tu imefikia kiwango cha mwisho kufkiri
Wengi hapa wamejiteka wenyewe.
 
hahahahaahah mbona mnaojibu hili suala la 666 mnachagua mifano mitatu tu ya masaa mnayotoa ili kuleta jibu 6, mfano ukichukua 7-1=6, 8-2=6, 10-4=6, 11-5=6, 12-6=6, hapo si tutapata 666666 ambayo haina maana yoyote
Wamelishwa pumba.
 
Nmeeelewavzr kabsa
 
hujakatazwa kutumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…