Kwanini RC wasipite kuombea kila kijiji au familia wafanikiwe kimaisha?

Kwanini RC wasipite kuombea kila kijiji au familia wafanikiwe kimaisha?

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
2,691
Reaction score
2,303
Kwanini RC msipite mnaombea kila kijiji au familia waweze kufanikiwa kimaisha,kukiwa na mafanikio ktk kila familia amani itakuja yenyewe tu.

Hizo propaganda nyingine ni uhuni tu na kutafuta fedha kupitia sadaka za maombi.
 
Wao wenyewe wamefanikiwa?

Unafiki, Uchawa & Uzandiki vimekua vyeo vyenye malipo mazuri sana ila majukumu yake ya kazi ni ukubali kudhalilika.
 
Kwanini RC msipite mnaombea kila kijiji au familia waweze kufanikiwa kimaisha,kukiwa na mafanikio ktk kila familia amani itakuja yenyewe tu.

Hizo propaganda nyingine ni uhuni tu na kutafuta fedha kupitia sadaka za maombi.
Then kodi tunayolipa serikali kwa ajili ya maisha ya raia, tuwape hao RC kwa ajili ya hiyo kazi.
 
Kwanini RC msipite mnaombea kila kijiji au familia waweze kufanikiwa kimaisha,kukiwa na mafanikio ktk kila familia amani itakuja yenyewe tu.

Hizo propaganda nyingine ni uhuni tu na kutafuta fedha kupitia sadaka za maombi.
Endelea kukalisha kiuno hapo kwenu ukisubiri maombi.
 
Back
Top Bottom