Kwanini Rais Magufuli hahudhurii Mazishi ya viongozi?

Mbon hujaulz kwnn raids hajahuzulia kwa baadhi ya mairais ,wenzk badala yak alimtuma makam ya
Baaz ya vit tusihj sana huy yup kivingn kabisa......
Comrade HesabuKali, ulipokuwa unaandika huu ujumbe ulikuwa unafukuzwa au ilikuwa umelewa? Au shule uliogopa umande au viboko basi ukaishia njiani. Loooh, kweli elimu elimu elimu!!!!
 
Nani Kiongozi gani mkubwa aliyefariki na Rais Magufuli hajahudhuria? au unataka kujenga dhana tu isiyo na mashiko kuhusu Rais kuhudhuria misiba tu ili mradi msiba umetokea basi Rais Magufuli ahudhurie tu kama ulivyozoea kwa Rais Kikwete alipokuwa anahudhuria misiba mingi tu mpaka wa msanii Kanumba?
Kiongozi mkuu ni sawa kabisa kuhudhuria misiba hii ya viongozi. Kisiasa ni sawa kabisa.
 
Mi mwenyewe naogopa sana misiba hususani kuona maiti nitaota siku nzima mpaka niende msikitini kuomba na kutubu kama kuna tatizo na misiba Eeeh Mungu nipe ujasiri
 
Mambo mengine yametokana na mila na desturi.

Watu tulimzoea Kikwete kuwepo kwenye misiba hii inatokana na utamaduni wao watu wa pwani. Mtu wa pwani haachi shughuli iwe msiba ama harusi hasa ukute inamhusu.

Watu wa bara huko sijajua tamaduni zenu zimekaaje
Pwani ni nchi gani mkuu?
 
Tumeshuhudia misiba ya viongozi wakubwa hivi karibuni, lakini kama desturi na taratibu zetu tumezoea Rais kuhudhuria mazishi pale kiongozi mkubwa anapo fariki.

Alifariki mmbunge wa songea, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa manyara Ndugu Bendera, Kuna jamaa alikuwa anakaa pembeni Rais akiapisha viongozi nk

Lakini katika misiba hii kama tulivyo zoea kuona Marais Wastaafu kuhudhuria mazishi hata ya mkuu wa wilaya imekuwa tofaiti kwa Rais Magufuli.

Je tusiishi kwa mazoea, au sio lazima Rais kufanya hivyo?
Anatimiza masharti ya fundi
 
Tumeshuhudia misiba ya viongozi wakubwa hivi karibuni, lakini kama desturi na taratibu zetu tumezoea Rais kuhudhuria mazishi pale kiongozi mkubwa anapo fariki.

Alifariki mmbunge wa songea, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa manyara Ndugu Bendera, Kuna jamaa alikuwa anakaa pembeni Rais akiapisha viongozi nk

Lakini katika misiba hii kama tulivyo zoea kuona Marais Wastaafu kuhudhuria mazishi hata ya mkuu wa wilaya imekuwa tofaiti kwa Rais Magufuli.

Je tusiishi kwa mazoea, au sio lazima Rais kufanya hivyo?

Ki ukweli Rais akihudhuria mazishi Au misiba ni km usumbufu tuu,
Watu wanaacha kuomboleza ,wanaanza kumshangaa raisi na msafara wake.
Pili ilkulu kuna kazi nyingi sana za kuwa fanyia wananchi waliobaki na wananchi wajao tumsamehe tuu.

Rais akituma salamu tuu inatosha
 
Nani Kiongozi gani mkubwa aliyefariki na Rais Magufuli hajahudhuria? au unataka kujenga dhana tu isiyo na mashiko kuhusu Rais kuhudhuria misiba tu ili mradi msiba umetokea basi Rais Magufuli ahudhurie tu kama ulivyozoea kwa Rais Kikwete alipokuwa anahudhuria misiba mingi tu mpaka wa msanii Kanumba?
Mgonjwa wewe
 
Una umri gani mwenzetu.
Desturi unayoongelea ya kuanzia lini?
Naomba tupe mahudhurio ya Rais Nyerere tu kwenye misiba, walau kuanzia msiba w a Marehemu Shekilango tuanzie hapo. Sisi wengine tulikuwepo.
Msiwe mazombi
Hamjiulizi tu kama kweli mnajitambua kwanini mkuu haendi misibani mnaishia kumtetea tuu subirini wafe waume zenyu hapo ndo tutajua kama haendi misibani au lah
 
Tumeshuhudia misiba ya viongozi wakubwa hivi karibuni, lakini kama desturi na taratibu zetu tumezoea Rais kuhudhuria mazishi pale kiongozi mkubwa anapo fariki.

Alifariki mmbunge wa songea, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa manyara Ndugu Bendera, Kuna jamaa alikuwa anakaa pembeni Rais akiapisha viongozi nk

Lakini katika misiba hii kama tulivyo zoea kuona Marais Wastaafu kuhudhuria mazishi hata ya mkuu wa wilaya imekuwa tofaiti kwa Rais Magufuli.

Je tusiishi kwa mazoea, au sio lazima Rais kufanya hivyo?
Wakubwa maana nini? Wewe ukifiwa hao wasitaafu walihudhuria msiba? Halafu magufuli siyo hao waliotangulia unaishi kwa kukariri.
 
Back
Top Bottom