kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,461
- 5,860
Tatizi la futuhi hua lazima kila scene wapigane yaani bila kupigana pigana wanahisi kama hawajachekesha hivi.
Na kuvaa manguo machafu na yaliyochakaa.. comedy za kizamani kbs sijui hawawaangalii kina Trevor Noah hawa?