Wadau nasikia EAST AFRICA TELEVISION wanakirudisha kipindi cha Ze Comedy karibuni, lakini watafanya search kwanza....mnaonaje hii wadau? EATV wataweza kutukimbiza nyumbani tena kuwahi kipindi?
Wabishi na walioita habari yangu ya kiswahili ...EATV hawawezi..i hope mtameza maneno yenu...angalieni EATV muone promo ya Ze Comedy SHOW...RESPECT MAWAZO YA MWENZAKO
NAWAKILISHA!
Wabishi na walioita habari yangu ya kiswahili ...EATV hawawezi..i hope mtameza maneno yenu...angalieni EATV muone promo ya Ze Comedy SHOW...RESPECT MAWAZO YA MWENZAKO
NAWAKILISHA!