NJUGHU
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 383
- 269
Mwaka huu mpaka kufika 2015,kazi ipo!Waandishi wa habari wawe waaminifu kutujuza mambo kama haya hasa kwa watanzania ambao hawawezi kupitia social media kama hizi!
Tujiulize muheshimiwa yeye ni wakusingiziwa tu kila kitu na kukaa kimya,mbona atakuwa anaonewa sana kama anavumilia haya yote,ajibu hoja hizi maana watanzania bado tunaamini utendaji wake wa kazi tujue moja 2015!
!Biashara asubuhi!
Tujiulize muheshimiwa yeye ni wakusingiziwa tu kila kitu na kukaa kimya,mbona atakuwa anaonewa sana kama anavumilia haya yote,ajibu hoja hizi maana watanzania bado tunaamini utendaji wake wa kazi tujue moja 2015!
!Biashara asubuhi!