Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,581
Wanaume ni polygamous creatures. Ni asilu ya kiumbe wa kiume kuwa na majike wengi lakini hapo hapo viumbe wa kike wengi wanakuwa na dume mmoja tu.
Angalia hata jogoo bandani ana majike 20+. Angalia pride ya simba ina dume moja na majike yakushanta.
Hata binadamu na sisi tupo hivyo hivyo. Ni nature na hauwezi kupingana nayo.
Hapa ushamaliza kila kitu mkuu uzi ufungwe
Hata wao wanajua haturidhiki na mbususu moja
Waache kukaza shingo waturuhusu tu officially