King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,512
Labda kwa ambao sio MAKONKI ndio utawagundua ila MAKONKI anatoka kuchapwa chumba cha jirani anakuja kukupa na wewe mmewe na haujui kitu.
Umemaliza kila kitu.Wanawake wanazini sana tu na hawagunduliki. Mwanamke ana kinai, anatamaa, anahamu ya kubadili ladha kama mwanaume.
Wanaume sisi ni waoga sana kusikia mwanamke katamani nje, ni waoga sana wa kuchapiwa, tunaona kama kuchapiwa ni udhaifu kwetu ndo maana tuna hizi theories za mwanamke kaumbiwa mwanaume mmoja, hawezi tamani nje n.k lakini wanazini wanawake tena wengine for fun wala si kwamba hampendi mumewe.
kuna ambao wanazini na mtu huko jioni anarudi kwa mumewe na wala hamkumbuki huyo aliyezini naye.
Hofu ya MUNGU na utii wa kiapo cha ndoa ndio kigezo kutakachomfanya mwanamke azini au la, na hii inatuhusu hata ss wanaume. Ukiwa na hofu ya MUNGU na mtii kwenye kiapo chako cha ndoa utaiogopa na kuikimbia zinaa.
Kinyume na hapo bila kujali jinsia, sisi wote ni binadamu wenye tamaa ya mwili.
Mkuu hapa umepotoka, narudia hapa umepotoka haya yako hayana ukweli hata nusu, hata robo, mwanamke akichepuka akilala na mwanaume nje ta ndoa huwa anafanya kwa mapenzi kabisa tofauti na sisi wanaume tunafanya kwa kujipa raha tu na inaishia hapo, na mwanamke akitoka njee tambua ndoa itakua ina migogoro sana tofauti na mwanaume akitoka njeWanawake wanazini sana tu na hawagunduliki. Mwanamke ana kinai, anatamaa, anahamu ya kubadili ladha kama mwanaume.
Wanaume sisi ni waoga sana kusikia mwanamke katamani nje, ni waoga sana wa kuchapiwa, tunaona kama kuchapiwa ni udhaifu kwetu ndo maana tuna hizi theories za mwanamke kaumbiwa mwanaume mmoja, hawezi tamani nje n.k lakini wanazini wanawake tena wengine for fun wala si kwamba hampendi mumewe.
kuna ambao wanazini na mtu huko jioni anarudi kwa mumewe na wala hamkumbuki huyo aliyezini naye.
Hofu ya MUNGU na utii wa kiapo cha ndoa ndio kigezo kutakachomfanya mwanamke azini au la, na hii inatuhusu hata ss wanaume. Ukiwa na hofu ya MUNGU na mtii kwenye kiapo chako cha ndoa utaiogopa na kuikimbia zinaa.
Kinyume na hapo bila kujali jinsia, sisi wote ni binadamu wenye tamaa ya mwili.
Mkuu bado hujawajua wanawake kwa faidi yako tu kazana kuwajua itakusaidia sanaWanawake wanazini sana tu na hawagunduliki. Mwanamke ana kinai, anatamaa, anahamu ya kubadili ladha kama mwanaume.
Wanaume sisi ni waoga sana kusikia mwanamke katamani nje, ni waoga sana wa kuchapiwa, tunaona kama kuchapiwa ni udhaifu kwetu ndo maana tuna hizi theories za mwanamke kaumbiwa mwanaume mmoja, hawezi tamani nje n.k lakini wanazini wanawake tena wengine for fun wala si kwamba hampendi mumewe.
kuna ambao wanazini na mtu huko jioni anarudi kwa mumewe na wala hamkumbuki huyo aliyezini naye.
Hofu ya MUNGU na utii wa kiapo cha ndoa ndio kigezo kutakachomfanya mwanamke azini au la, na hii inatuhusu hata ss wanaume. Ukiwa na hofu ya MUNGU na mtii kwenye kiapo chako cha ndoa utaiogopa na kuikimbia zinaa.
Kinyume na hapo bila kujali jinsia, sisi wote ni binadamu wenye tamaa ya mwili.
Mwanamke ana cheat for fun mkuu hiyo haipo kwako, wanawake mpaka akupe uchi wake hiyo inatoka moyoni kabisa na sio vingineWanawake wanazini sana tu na hawagunduliki. Mwanamke ana kinai, anatamaa, anahamu ya kubadili ladha kama mwanaume.
Wanaume sisi ni waoga sana kusikia mwanamke katamani nje, ni waoga sana wa kuchapiwa, tunaona kama kuchapiwa ni udhaifu kwetu ndo maana tuna hizi theories za mwanamke kaumbiwa mwanaume mmoja, hawezi tamani nje n.k lakini wanazini wanawake tena wengine for fun wala si kwamba hampendi mumewe.
kuna ambao wanazini na mtu huko jioni anarudi kwa mumewe na wala hamkumbuki huyo aliyezini naye.
Hofu ya MUNGU na utii wa kiapo cha ndoa ndio kigezo kutakachomfanya mwanamke azini au la, na hii inatuhusu hata ss wanaume. Ukiwa na hofu ya MUNGU na mtii kwenye kiapo chako cha ndoa utaiogopa na kuikimbia zinaa.
Kinyume na hapo bila kujali jinsia, sisi wote ni binadamu wenye tamaa ya mwili.
Ok mkuu.Mkuu hapa umepotoka, narudia hapa umepotoka haya yako hayana ukweli hata nusu, hata robo, mwanamke akichepuka akilala na mwanaume nje ta ndoa huwa anafanya kwa mapenzi kabisa tofauti na sisi wanaume tunafanya kwa kujipa raha tu na inaishia hapo, na mwanamke akitoka njee tambua ndoa itakua ina migogoro sana tofauti na mwanaume akitoka nje
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa boss.Mkuu bado hujawajua wanawake kwa faidi yako tu kazana kuwajua itakusaidia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sawa. Ndivyo wanavyowaambia vijana Ila kama ww ni mtu mzima mwenzangu utakubali kuwa Sababu za mwanamke kutoka nje ni zile zile: Siridhishwi kimapenzi, hanijali, pesa, siyo romantic, n.k. Sababu zote kasoro pesa huusisha tamaa ya mwili.Mwanamke ana cheat for fun mkuu hiyo haipo kwako, wanawake mpaka akupe uchi wake hiyo inatoka moyoni kabisa na sio vingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Hofu ipi unaiongelea ndugu yangu?Ingawa mwanamke akichit anakua na hofu kubwa kwa siku ya kwanza ni rahisi kumjua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, mwanamke akicheat mwache aende zake sababu siyo loyal kwenye kiapo chake cha ndoa na hawezi kuzuia tamaa yake ya mwili.Mwanamke akikuchit mwache aende zake yanini presha, kwa kuwa wanachit kwa kupenda na wala sio for funy sasa kama ameingia kwa mchepuko hiyo inamaana kuwa amempenda huyo aliechit nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo uilinde hasa hiyo bahari!! mbona barida tuu! ukamate wavuvi haramu km Magu!!Kumzuia mwanamke kuchepuka ni sawa na kulinda bahari ...
Kugongewa hakukwepeki wakuu..
Dismiss case.
Bahari hailindiki mkuu,,,utailinda bahari ya hindi wakati wenzio Mediterranean oceans wanachota na wanaogelea.?Ndiyo uilinde hasa hiyo bahari!! mbona barida tuu! ukamate wavuvi haramu km Magu!!
Mbona binamu zetu watamu tumegongana sana huko kijijini tena bure! lkn kamwe roho hazikuuma mpaka leo! kabisa! ukilinganisha na hawa wa kugonga mjini? fikiria ka-mke eti ka kukutana nako Dar!! sijui temeke roho zinauuuma kakigongwa!! kwa nini? mjiulize wananzengo!
Elewa wakati binamu zetu vijana walikuwa vipusa hasa vya haja?? hasa huyu Penina nilimpenda!! but tuliachana kirohosafi tu mpakaleo!! nadhani hapo ndo kuna limbwata hapo lina husika wanaume amkeni....
ngoja ni muulize dada binamu km yumo humu!! anijibu! eti binamu ilikuwaje??? na wewe unafanya haya kweli? kwa nini hukunifanyia mimi tukaishi
Na amini ujue dada binamu nikishindwa kukaa na hawa wa mjini! nakurudia hata ufanyeje!!! umeolewa mimi sijui hayo!! make huna tabu wewe km hawa wa mjini!
TubuBahari hailindiki mkuu,,,utailinda bahari ya hindi wakati wenzio Mediterranean oceans wanachota na wanaogelea.?
Utawezaje kulinda bahari..?
Yupo demu mmoja mtoto wa Mwenye nyumba wangu alikuwa ananipa utamu chooni,
Akiingia kujisaidia na mm naingia kuoga bafuni..
Baadae namfata huko anakojisaidia.
Nampa mgegedo huko huko tukitoka mikausho...
Wenyewe walikuwa wanamlinda kweli kweli..
Mm nawachora tu.