Hongera wazazi wako wamepata mtoto sio kokoto.maana kuna wengine humu ni kokoto wazee wanajua ni mtoto.Wanawake wanazini sana tu na hawagunduliki. Mwanamke ana kinai, anatamaa, anahamu ya kubadili ladha kama mwanaume.
Wanaume sisi ni waoga sana kusikia mwanamke katamani nje, ni waoga sana wa kuchapiwa, tunaona kama kuchapiwa ni udhaifu kwetu ndo maana tuna hizi theories za mwanamke kaumbiwa mwanaume mmoja, hawezi tamani nje n.k lakini wanazini wanawake tena wengine for fun wala si kwamba hampendi mumewe.
kuna ambao wanazini na mtu huko jioni anarudi kwa mumewe na wala hamkumbuki huyo aliyezini naye.
Hofu ya MUNGU na utii wa kiapo cha ndoa ndio kigezo kutakachomfanya mwanamke azini au la, na hii inatuhusu hata ss wanaume. Ukiwa na hofu ya MUNGU na mtii kwenye kiapo chako cha ndoa utaiogopa na kuikimbia zinaa.
Kinyume na hapo bila kujali jinsia, sisi wote ni binadamu wenye tamaa ya mwili.