Kwanini ndoa zina washauri wengi?

BICHWA KOMWE -

JF-Expert Member
Jul 21, 2022
5,172
11,532
Kati ya sekta huria ambazo kila kinyangarika yumo basi ni NDOA.

Hii "sekta" ya ndoa huwezi kujua mtaalamu ni yupi wala majnuni ni yupi. Kila mtu kawaka moto anajitia mjuvi, hapoi wala haboi.

Ukiingia mitandaoni na penginepo, kila Tom na Jeri anafundisha kuhusu ndoa. Hata wachungaji nao ati ni walimu wa ndoa.

Kila aliye kwenye ndoa naye anajifanya mwalimu wa ndoa. Hata kama ndoa imemshinda lakini bado anang'ang'ana kuwa kungwi wa ndoa na kujifanya anagawa nasaha uchwara za ndoa.

Nashauri sasa serikali iunde VETA MAALUMU ambamo watapikwa makungwi wa ndoa na wapewe vyeti kabisa vya kitaaluma ili kwamba tunapohitaji ushauri wa KITAALAMU kuhusu ndoa tuwafuate hao.

Hatutaki huu utaratibu wa kila kanjanja anayejiita padri au pasta au mtu aliye kwenye ndoa kujifanya anatoa mawaidha ya ndoa wakati sote tunajua hana huo ujuzi wala maarifa. Ni kujitutumua tu.

Huwezi kukuta kila mtu akijifanya wakili au injinia. Huko kuna utaalamu hapataki Toms and jerries.

Lakini kwenye ndoa kila mtu ni fundi na rabi. Alaaah!

MY TAKE: Hili nalo mkalitazame.
 
Kati ya sekta huria ambazo kila kinyangarika yumo basi ni NDOA.

Hii "sekta" ya ndoa huwezi kujua mtaalamu ni yupi wala majnuni ni yupi. Kila mtu kawaka moto anajitia mjuvi, hapoi wala haboi.

Ukiingia mitandaoni na penginepo, kila Tom na Jeri anafundisha kuhusu ndoa. Hata wachungaji nao ati ni walimu wa ndoa.

Kila aliye kwenye ndoa naye anajifanya mwalimu wa ndoa. Hata kama ndoa imemshinda lakini bado anang'ang'ana kuwa kungwi wa ndoa na kujifanya anagawa nasaha uchwara za ndoa.

Nashauri sasa serikali iunde VETA MAALUMU ambamo watapikwa makungwi wa ndoa na wapewe vyeti kabisa vya kitaaluma ili kwamba tunapohitaji ushauri wa KITAALAMU kuhusu ndoa tuwafuate hao.

Hatutaki huu utaratibu wa kila kanjanja anayejiita padri au pasta au mtu aliye kwenye ndoa kujifanya anatoa mawaidha ya ndoa wakati sote tunajua hana huo ujuzi wala maarifa. Ni kujitutumua tu.

Huwezi kukuta kila mtu akijifanya wakili au injinia. Huko kuna utaalamu hapataki Toms and jerries.

Lakini kwenye ndoa kila mtu ni fundi na rabi. Alaaah!

MY TAKE: Hili nalo mkalitazame.
Tasoma baadae nikitulia kwanza ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Lamomy
 
Wizo mimi mkufunzi ngoja nifingue chuo cha MAFUNZO mponye ndoa zenu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Na nitaanza na yako, haiwezekani huolewi miaka 3 uko uchumba sugu
Heheheheee ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mwenzio nimeolewa mwaka wa saba huu, thubutuuu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Fungua chuo cha ukungwi umuajiri pacha wako mabakuli awe mkufunzi mwenza Hehehee ๐Ÿคฃ
 
Ukinunua kifaa mfano cha electronic kama simu utaona mtengenezaji kaweka kitabu cha maelekezo ya jinsi ya kukitumia na kukitunza. Usipofuta mwongozo wa mtengenezaji matokeo wote tunajua

Ila inapokuja kwenye ndoa naona watu wengi huwa wanatumia tu hisia, uzoefu, ushauri wa wanaojiita washauri wa ndoa akina Mauki na utashi wao tu

Huoni wakinukuu vifungu vya mwanzilishi wa ndoa Sir God mwenyewe

Lazima ndoa zifeli bila kufuata kitabu chake cha mwongozo
 
Kati ya sekta huria ambazo kila kinyangarika yumo basi ni NDOA.

Hii "sekta" ya ndoa huwezi kujua mtaalamu ni yupi wala majnuni ni yupi. Kila mtu kawaka moto anajitia mjuvi, hapoi wala haboi.

Ukiingia mitandaoni na penginepo, kila Tom na Jeri anafundisha kuhusu ndoa. Hata wachungaji nao ati ni walimu wa ndoa.

Kila aliye kwenye ndoa naye anajifanya mwalimu wa ndoa. Hata kama ndoa imemshinda lakini bado anang'ang'ana kuwa kungwi wa ndoa na kujifanya anagawa nasaha uchwara za ndoa.

Nashauri sasa serikali iunde VETA MAALUMU ambamo watapikwa makungwi wa ndoa na wapewe vyeti kabisa vya kitaaluma ili kwamba tunapohitaji ushauri wa KITAALAMU kuhusu ndoa tuwafuate hao.

Hatutaki huu utaratibu wa kila kanjanja anayejiita padri au pasta au mtu aliye kwenye ndoa kujifanya anatoa mawaiza ya ndoa wakati sote tunajua hana huo ujuzi wala maarifa. Ni kujitutumua tu.

Huwezi kukuta kila mtu akijifanya wakili au injinia. Huko kuna utaalamu hapataki Toms and jerries.

Lakini kwenye ndoa kila mtu ni fundi na rabi. Alaaah!

MY TAKE: Hili nalo mkalitazame.
Ndoa si fani ya kitaaluma, inayopasa ushauri utoke kwa wahusika wenyewe. Kwamba ili utoe ushauri lazima uwe mbobevu.
 
Ni lini Mungu aliwahi kuoa?

Huyu ni muasisi wa single mama sababu 'alitupia' tu kwa mchumba wa mtu na kumtelekeza.
Elewa neno mwanzilishi

Yeye ndiye aliyeanzisha ndoa ya kwanza kati ya Adamu na Hawa na zikaendelea nyingine mpaka sasa

Ndio maana ameweka mashauri kwenye vitabu vitakatafu jinsi ya kuishi maisha ya ndoa kati yamume na mke na familia
 
Back
Top Bottom