Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,963
- 10,460
Kanda ya ziwa kwa ujumla ndio wamejaa, yaani Mwanza, Geita, Shinyanga etc.Inawezekana lkn mi nikimuona namuona mgumu isitoshe mkoa wa shinyanga wapo wengi sana.
Kanda ya ziwa kwa ujumla ndio wamejaa, yaani Mwanza, Geita, Shinyanga etc.Inawezekana lkn mi nikimuona namuona mgumu isitoshe mkoa wa shinyanga wapo wengi sana.
karibu mkuuAhsante mkuu kwa ufafanuzi wako.
kati ya sign za jiji la mwanza piaOk mkuu kumbe ni wa kwetu lkn sikujua kama anaitwa hivyo.
Sawa mkuu, Ndege huyu anapenda sana mazingira ambayo ni ya upatikanaji wa chakula(mizoga) mara kwa mara na pia huwa anapenda pembezoni mwa bahari au ziwa ambapo watu hujishughulisha na shughuli za uzalishaji wa samaki. Kule kwetu ndege huyu tunamuita TAI, Tunamuita hivyo kwa sababu akimeza chakula kabla ya kushuka sehemu ya shingo lake hutuna na kuning'inia mithili ya tai.Simfaham kiundani ndio maana nikauliza humu ili anaemjua atujuze mi huwa namuona tu.
Hao asili yao ni aquatic yaani wanapatikana sehemu zenye maji mengi kama bahari nk ingawaje wanaweza kaa sehemu yoyote hasa anapokuwa mzee kwasababu ya kufuata chakula baadaya uwezo wake wa kutafuta chakula kupungua,ndege wengi wenye midomo mirefu na miguu makazi yao ni sehemu zenye maji mengiMazingira yake kimaisha yukoje kuanzia mahitaji hadi hali ya hewa aipendayo?
viota vyake anasukia kwenye maeneo ya baharini au mtoni ni ngumu sana kumuotea,huyo ni security firstAsifanye ke?vyzi juu ya paa lako la msauzi ndani ya wiki linabadilika kuwa chokaa? eti mbona sijawai kuona vifaranga vyake?
Kamila nzoka hayuko hivyo ila nae ni mwembamba sana na ni mrefu shingo balaa,yaani anaweza meza nyoka akaishia kukaa kwenye shingo tuuHuyo kwetu tunamuita 'kimilanzoka'
Mwanza anaitwa Barwee!!!!!!!mwanza
Sio yeye!Huyo kwetu tunamuita 'kimilanzoka'
Ahsante mkuu kwa ufafanuzi ni wapi huko ndege huyu huitwa tai?Sawa mkuu, Ndege huyu anapenda sana mazingira ambayo ni ya upatikanaji wa chakula(mizoga) mara kwa mara na pia huwa anapenda pembezoni mwa bahari au ziwa ambapo watu hujishughulisha na shughuli za uzalishaji wa samaki. Kule kwetu ndege huyu tunamuita TAI, Tunamuita hivyo kwa sababu akimeza chakula kabla ya kushuka sehemu ya shingo lake hutuna na kuning'inia mithili ya tai.
Lakini mkoa wa shinyanga ni mkame na hao ndege ni wengi sanaHao asili yao ni aquatic yaani wanapatikana sehemu zenye maji mengi kama bahari nk ingawaje wanaweza kaa sehemu yoyote hasa anapokuwa mzee kwasababu ya kufuata chakula baadaya uwezo wake wa kutafuta chakula kupungua,ndege wengi wenye midomo mirefu na miguu makazi yao ni sehemu zenye maji mengi