MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Nenda kapime mdogo wangu, nenda kapime. Kwanza utajielewa uko katika hali gani na pili (hili siombi litokee) ikiwa umeathirika ni bora kujua mapema ili kuwahi kuikabili hali hiyo kitaalamu. Usisubiri mpaka iwe umechelewa. Ninakuombea matokeo yasiwe mabaya. Kila la heri.Nawashukuruni kwa michango yenu napenda niweke wazi tu kuwa
jambo linalonikosesha furaha zaidi kwa sasa ni kila ninapofikiria kwenda
kupima. Kweli Nakosa amani!