Na utaendelea sana kuwachukia ila wenge likikutoka utatupenda tu...kwa asilimia 90 ya wanaume watakutongoza kulingana na unavyojipresent kwao..
si rahisi mwanaume kukutongoza kama anakuona una msimamo flani isitoshe wewe ndio umewalegezea legezea unakwenda kuomba msaada huku unang'atax2 vidole unategemea nini?
Na nani aliyekwambia lazima ugawe K ili usaidiwe hukuwa na means yoyote ya kufikiria kujikimu na maisha? wangapi ni mfano bora wamepitia hayo maisha na hawakuuza K? je unadhani wewe ni wa kwanza kukutwa na hayo matatizo?
nyie ndo the same batch ya kina Sofia Simba nadhani production yenu ilikuwa moja sema we sijui umechelewa ukiwa wapi ...
sasa hapa unapoandika unaomba huruma ya jamii au ndo namna gani ...Nawachukia wanawake kama wewe kuliko kitu kingine ...
huwezi kutegemea K kwa kuishi halafu ujisifu
kwa taarifa yako hata kama unawachukia nadhani hata hapo hizo unazodisco lazima unaonyesha K na bado wataendekea kukutumia sana kama flash disk na hawatachagua port ya kuweka ...ukimaliza kusoma wakati unatafuta ajira utakutana nao na watadigg kama kawa ....
I hate a woman like u... wanaume ukijiheshimu utaheshimika haswaaaa ukijiwema watakuwema vile vile...
The BOSS alishasema hapa kuwa kuna wanaume na wavulana ninaimani kabisa ungeamua kutulia na kusema nia yako ya kusoma na kuomba msaada kwa wanaume na si wavulana UNGEPATA MSAADA na ungesoma na mahitaji ungepata smoothly ..sasa kwa sababu uliamua kuweka K mbele kama tai ndo hayo unayotwambia hapa....
Mara nyingine unaweza kujiuliza kwanini mtu kachagua ID fulani, Unaweza kucheka, kuchukia au kubaki kawaida na maswali yako. Kwa upande wangu nastahili kuitwa/ kujiita mcharuko. Naongea kutoka moyoni kwa sababu naamini ni Mungu pekee ndo ananijua vizuri kwa wengine hapa jukwaani nitaendela kuwa kivuli.
Mwk 2001 nikiwa kidato cha kwanza nilifiwa na mama yangu mzazi. Nilikuwa mtoto wa pekee kwa baba na mama. Nikabaki na baba peke yake ambaye mara nyingi alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kisukari hadialipopoteza maisha miaka miwili baadae. Tayari maisha yalishakuwa magumu lakini baada ya kufariki baba ugumu ulizidi.
Mara nyingi nilikuwa naenda kuomba misaada kwa marafiki wa karibu wa baba wengi wao walinisaidia lakini wakaanza kunitongoza. Sielewi ni kwanini wakati baba yuko hai nilikuwa mtoto wao lakini baada ya kifo cha baba wakaanza kunifanyia hivyo. Asilimia 90 ya wanaume niliowaomba msaada walinitongoza. Nilikuwa sina jinsi. Wengi nilifanya nao...... lakini hawakunisaidia tena baada ya msaada wa kwanza
na wao kupata walichohitaji.
Toka Muda huo maisha yangu yamekuwa ni ya kuuza mwili wangu mpaka mwaka 2008 ambapo nilijiunga na chuo cha Elimu ya Biashara CBE. Hapo sikuwa na jinsi ndo nikaingia kwenye biashara rasmi ya uchangudoa. Sitatokea kumpenda mwanaume maisha yangu yote. Na hata pale nilipoleta thread kuhusu wanaume wafupi nilikuwa nimezungumza kutokana na uzoefu nilioupata kutokana na biashara hiyo.
Najitahidi kuileta akili yangu katika hali ya kawaida ili niwapende wanaume lakini nashindwa kwangu mwanaume ni mteja na mtu katili asiye na huruma. Nawachukia nawachukiakutoka moyoni. Rafiki wa karibu wa baba yangu ambao nimetembea nao mpaka sasa ni 5. Hivi kweli kuna haja ya kuwa na imani na wanaume?
wanaume tunapaswa kushawaishiana 'kuchukia'
tabia za ku take advantage unapomuona msichana ana shida na kaja kwako umsaidie...
Na utaendelea sana kuwachukia ila wenge likikutoka utatupenda tu...kwa asilimia 90 ya wanaume watakutongoza kulingana na unavyojipresent kwao..
si rahisi mwanaume kukutongoza kama anakuona una msimamo flani isitoshe wewe ndio umewalegezea legezea unakwenda kuomba msaada huku unang'atax2 vidole unategemea nini?
Na nani aliyekwambia lazima ugawe K ili usaidiwe hukuwa na means yoyote ya kufikiria kujikimu na maisha? wangapi ni mfano bora wamepitia hayo maisha na hawakuuza K? je unadhani wewe ni wa kwanza kukutwa na hayo matatizo?
nyie ndo the same batch ya kina Sofia Simba nadhani production yenu ilikuwa moja sema we sijui umechelewa ukiwa wapi ...
sasa hapa unapoandika unaomba huruma ya jamii au ndo namna gani ...Nawachukia wanawake kama wewe kuliko kitu kingine ...
huwezi kutegemea K kwa kuishi halafu ujisifu
kwa taarifa yako hata kama unawachukia nadhani hata hapo hizo unazodisco lazima unaonyesha K na bado wataendekea kukutumia sana kama flash disk na hawatachagua port ya kuweka ...ukimaliza kusoma wakati unatafuta ajira utakutana nao na watadigg kama kawa ....
I hate a woman like u... wanaume ukijiheshimu utaheshimika haswaaaa ukijiwema watakuwema vile vile...
The BOSS alishasema hapa kuwa kuna wanaume na wavulana ninaimani kabisa ungeamua kutulia na kusema nia yako ya kusoma na kuomba msaada kwa wanaume na si wavulana UNGEPATA MSAADA na ungesoma na mahitaji ungepata smoothly ..sasa kwa sababu uliamua kuweka K mbele kama tai ndo hayo unayotwambia hapa....
afu badili hiyo id maneno yanaumba. Ndo tunaanza ushauri hivomara nyingine unaweza kujiuliza kwanini mtu kachagua id fulani, unaweza kucheka, kuchukia au kubaki kawaida na maswali yako. Kwa upande wangu nastahili kuitwa/ kujiita mcharuko. Naongea kutoka moyoni kwa sababu naamini ni mungu pekee ndo ananijua vizuri kwa wengine hapa jukwaani nitaendela kuwa kivuli.
Mwk 2001 nikiwa kidato cha kwanza nilifiwa na mama yangu mzazi. Nilikuwa mtoto wa pekee kwa baba na mama. Nikabaki na baba peke yake ambaye mara nyingi alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kisukari hadialipopoteza maisha miaka miwili baadae. Tayari maisha yalishakuwa magumu lakini baada ya kufariki baba ugumu ulizidi.
Mara nyingi nilikuwa naenda kuomba misaada kwa marafiki wa karibu wa baba wengi wao walinisaidia lakini wakaanza kunitongoza. Sielewi ni kwanini wakati baba yuko hai nilikuwa mtoto wao lakini baada ya kifo cha baba wakaanza kunifanyia hivyo. Asilimia 90 ya wanaume niliowaomba msaada walinitongoza. Nilikuwa sina jinsi. Wengi nilifanya nao...... Lakini hawakunisaidia tena baada ya msaada wa kwanza
na wao kupata walichohitaji.
Toka muda huo maisha yangu yamekuwa ni ya kuuza mwili wangu mpaka mwaka 2008 ambapo nilijiunga na chuo cha elimu ya biashara cbe. Hapo sikuwa na jinsi ndo nikaingia kwenye biashara rasmi ya uchangudoa. Sitatokea kumpenda mwanaume maisha yangu yote. Na hata pale nilipoleta thread kuhusu wanaume wafupi nilikuwa nimezungumza kutokana na uzoefu nilioupata kutokana na biashara hiyo.
Najitahidi kuileta akili yangu katika hali ya kawaida ili niwapende wanaume lakini nashindwa kwangu mwanaume ni mteja na mtu katili asiye na huruma. Nawachukia nawachukiakutoka moyoni. Rafiki wa karibu wa baba yangu ambao nimetembea nao mpaka sasa ni 5. Hivi kweli kuna haja ya kuwa na imani na wanaume?
Huna utu kabisa wewe, It is men like you who always use their lower head (Abdala kichwa wazi) when thinking