Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Ushauri wa dharura, kabla sijagusia tatizo la msingi...
Usithubutu hata kwa kulazimishwa, kwenda kupima HIV kwa sasa... Narudia tena usithubutu kwenda kupima kwa sasa. Nina uzoefu na madhara ya kupima HIV kwa watu kama wewe, na nakuhakikshia, ukipima leo na bahati mbaya ukakutwa umeathirika, hautamaliza mwaka kabla hujafa kifo cha aibu.
Kwa sasa jichukulie kuna uwezekano kuwa hujaathirika, na jitahidi kadiri ya uwezo wako kutumia mbinu zote za kujikinga. Siku ukiwa tayari (nitakuelewesha baadae nini maana ya 'kuwa tayari'), then, nenda kapime.
Ila kwa sasa narudia tena, usithubutu kwenda kupima... kuna uwezekano wa 75% hujaathirika...
Usithubutu hata kwa kulazimishwa, kwenda kupima HIV kwa sasa... Narudia tena usithubutu kwenda kupima kwa sasa. Nina uzoefu na madhara ya kupima HIV kwa watu kama wewe, na nakuhakikshia, ukipima leo na bahati mbaya ukakutwa umeathirika, hautamaliza mwaka kabla hujafa kifo cha aibu.
Kwa sasa jichukulie kuna uwezekano kuwa hujaathirika, na jitahidi kadiri ya uwezo wako kutumia mbinu zote za kujikinga. Siku ukiwa tayari (nitakuelewesha baadae nini maana ya 'kuwa tayari'), then, nenda kapime.
Ila kwa sasa narudia tena, usithubutu kwenda kupima... kuna uwezekano wa 75% hujaathirika...