Kwanza Malecela kwao sio Kongwa acha uongo. Kwao ni Mvumi
Pili ni kweli "inasemekana" alisilimishwa na kuwa muislam ili apewe hela za kampeni na Jina alilopewa ni hill Jumanne
Tatu, katika uchaguzi wa 1995 hakuna aliyekua na nguvu kumshinda Malecele(Chigweyemisi) kwao ndo wanamuita hivyo kimeanguka mchana sijui kwanini
Nne, bila msuli wa mwalimu hata ule mpambano wa Mkapa na Kikwete usingetokea Malecela angeshinda mapema sana
Tano, Hakua na haiba wala uwezo wa kuwa Rais kwa mtazamo wangu. Na Nyerere alifanya vizuri sana kumblock