smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,106
Duu!! jamii F big up sana!! kuumbe inaenda mbali sana kuna mpaka wa kabila la wagagagigikoko?Ni kama kuna kitu unajaribu kunionesha afu kipo kwa mbali unaishia kusema "kale"
Kale kanini?
Duu!! jamii F big up sana!! kuumbe inaenda mbali sana kuna mpaka wa kabila la wagagagigikoko?Ni kama kuna kitu unajaribu kunionesha afu kipo kwa mbali unaishia kusema "kale"
Kale kanini?
Mungu asimamii wanadamu pekee Hata viumbe vingine sayari zingine vinavyoonekana na visiovyoonekana pia.Kwahyo unachoniambia ni kwamba bila binadamu kuwepo duniani Mungu asingekuwepo...Maana angekosa binadamu wa kuwasimaia...Hivyo kusingekiwa na haja ya Mungu kuwepo?
Kama kazi yake kuu ni kutusimamia Wanadamu, kama ilivyo kazi ya madaktari ni kutibu wagonjwa, kusingekuwa na magonjwa kungekuwa na madaktari??
Kusingekuwa na Wanadamu wa kusimamiwa kusingekuwa na Mungu?
Mkuu mara moja moja acha kutumia kamasi kuwaza.Unajichimbia kutafuta jibu kwa nini mungu yupo!!!?..kila la kheri
Uko sahihi kabisa, ila nilichokuwa najaribu kusema hapa ni kuwa kusudi la Mungu kukuumba wewe ni ili umwabudu.MUNGU haitaji chochote kutoka kwako hana upungufu hana udhaifu wa aina yoyote , unaabudu kwa sababu wewe ndo unamhitaji Mungu , kama ulisikia Mungu anapenda sifa , kuabudiwa na wivu na hasira , ni hulka zinazomweka Mungu katika hisia za maumbile ya mwili kama binadamu alivyo , Mungu ni nguvu kuu isiyo na mipaka ya aina yoyote inayofanya kazi kazi katika viwango linganifu ili kuweka kila kazi za uumbaji katika usawa sahihi kabsa.
Hili nafikiri ungelifanya weweMkuu mara moja moja acha kutumia kamasi kuwaza.
Tafuta ubongo ulipo, urudishe kwenye fuvu kisha uje kushiriki mijadala
Kama Mungu ni energy na kwamba energy haiumbwi wala haiwezi kuangamizwanmekuelewa sna kwa maelezo yako , vyote hivyo hao viumbe unaosema wapo , hivyo vishkwambi unavyosema vina chonzo vyote hivyo vina source from super intelligence energy , apo apo kumbuka energy imedhibitika never created no destroyed but can be change from one form to another form , hyo super intelligence energy ndo Mungu sasa , nyuma na ndani ya kila maumbile ya kiphizikia kuna energy inayodrive vitu vyote katika mlinganyo sahihi , maumbile yote unayoyaona yana Mungu na hata wewe una Mungu na bado unaendeleza kazi zake kama za uumbaji, behind the sperm ipo energy ya uumbaji ambayo ndio Mungu behind any seed na kwenye kila maumbile ya kiphizikia .
AyaaaHili nafikiri ungelifanya wewe
Mungu ni nguvu huvu hiyo hubadilika kutoka form moja kwenda nyingne and virse verva , yan maji mvuke barafu and virse versaKama Mungu ni energy na kwamba energy haiumbwi wala haiwezi kuangamizwa
Basi energy zote ambazo zipo hapa ulimwenguni hazijaumbwa na Mungu, na vile vile hana uwezo wa kuziangamiza
nmekuelewa bossiUko sahihi kabisa, ila nilichokuwa najaribu kusema hapa ni kuwa kusudi la Mungu kukuumba wewe ni ili umwabudu.
Kwa hiyo kwa upande wako wewe, Mungu yupo ili umwabudu.
Kwa upande wake yeye, uwepo wake haukuhitaaji wewe kuwepo kwa ajili ya kumwabudu; yupo bila kujali uwepo wako wewe. Uko sawa kabisa
Nimekuelewa na ndio maana nimekuambia kwa fact hiyo basi Mungu sio muumba wa vyote kwasababu hizi energy za hapa ulimwenguni zipo, na since enegry haiumbwi basi mchango wa Mungu katika kuumba energy ni zeroMungu ni nguvu huvu hiyo hubadilika kutoka form moja kwenda nyingne and virse verva , yan maji mvuke barafu and virse versa
energy hiyo kwa uelewa wetu ndo tumeiita Mungu ipo ndan yetu na ndio hutuongoza kwa tunavyovijua kimwil na tusivyovijua kimwilNimekuelewa na ndio maana nimekuambia kwa fact hiyo basi Mungu sio muumba wa vyote kwasababu hizi energy za hapa ulimwenguni zipo, na since enegry haiumbwi basi mchango wa Mungu katika kuumba energy ni zero
Kama ipo ndani yako maana yake na wewe una energyenergy hiyo kwa uelewa wetu ndo tumeiita Mungu ipo ndan yetu na ndio hutuongoza kwa tunavyovijua kimwil na tusivyovijua kimwil
TukifaTuta fikaje huko?
ni kweli sifi kinachofanyika ni hyo energy kuchange kwenye state nyingne tu , swala la uumbaji naomba tutazame kwenye mfumo wa energy kuwa tu kwenye state nyngne. chukulia mfano wa watoto wawili walio tumboni kwa mama yao , huko ndn wajadili swala la kwamba hakuna mama , ndivyo sisi tunaona hakuna MunguKama ipo ndani yako maana yake na wewe una energy
Na kama una Energy maana yake hufi
Na kama hufi maana yake huhusishwi kwa namna yeyote na kuumbwa na Mungu kwasababu energy haiumbwi
Sidhani kama kuna shida kwenye swali lake linalofanya ashindwe kupatiwa majibu kwasababu kuna vingine vinavyo muhusu yeye havijui.
Unaweza usijue vinavyo kuhusu wewe lakini hiyo haikuzuii wewe kushindwa kuhoji vingine.
Ni sawa na mimi hapa mtaani nisiwe na mjua balozi wa nyumba kumi, nikawa nataka kujua waziri wa fedha wa Tanzania ni nani, sidhani kama nitashindwa kujibiwa swali hilo kwa wanaojua eti kwakua tu simjui balozi wa nyumba kumi.
Mimi Ninaamini Mungu yupo, ila Nataka kujua sababu ya yeye kuwepoBiblia hiyo hiyo!! ikasema kuwa Mwanamke (Hawa) ni Mama wa viumbe vyooote!.........kumbuka viumbe hao ni wanadamu woote! wasio mjua Mungu na wanao Mjua Mungu wa kweli!!
Kama weye ni kiumbe wake utamjua tyuuuu! hata iweje.....na wasio wake kamwe hawatamjua...ndo km hvi mara Mungu hayupo! mara tumetokea tuu!
kwani majini na vinyamkera weye huvioni??...kwa nini havionekani?? penye nguvu Negative, lazima chanya ipo! ...........simple tuu!
Mungu asimamii wanadamu pekee Hata viumbe vingine sayari zingine vinavyoonekana na visiovyoonekana pia. Binadamu ni sehemu tu ya viumbe, hata usipomuabudu Mungu hana hasara ana viumbe vingine vingi pia kuliko wanadamu kwenye atmposhere zingine