Kwanini Mpendazoe hakupewa mafao Zitto apewe?

Kwanini Mpendazoe hakupewa mafao Zitto apewe?

Inadaiwa Zitto alitaka ajiunge na ACT-Kigoma tangu mwaka jana mwezi wa 9,na huu ndo unaweza ukawa mwezi ambao Zzk alichukua kadi ya chama chake that y ukitazama kwenye picha kadi yake unaonekana si mpya kabisa.

Nikirudi kwenye hoja ya msingi inadaiwa Zzk alishauriwa na spika wa Bunge mama Anna Makinda kwamba akiachana na CHADEMA na kujiunga na chama alichokiasisi cha ACT-Kigoma,asingepata stahiki zake kibunge,akashauriwa kwamba anaweza kufikia maamuzi hayo ikiwa imebakia miezi 3-4 kabla ya bunge halijavunjwa yaani mwezi wa 7,that y Zzk aliufyata mpaka hapo juzi baada ya kuahikikishiwa kulipwa mafao yake yote ya kibunge,ndo akasepa,(hapa alijari tumbo lake zaidi).

Na hii pia itaihusu familia ya Komba ,watalipwa stahiki zote ambazo marehemu kapten Komba(R.I.P)angelipwa kama angefika mwezi wa 7 bunge litakapovunjwa.

Bt kwa Mpendazoe sijui ni lini aliacha kiti chake bt pia kujiunga kwake na CDM kulimkosti,Zzk ni kibaraka wao,that y wanambeba,shetani hawezi watupa mawakala wao.

acha uongoo zito ana kadi mpya na hata nambari ya kadi yake ni mpya na pia muuundo wa kadi yake ni wa hizi mpya

KADI ZA ZAMANI ZA ACT HAZIPO KAMA ILE NI KIPANDE KIMOJA
tatizo huna hata ushahidi wala huzijui unasukumwa na hisia tu zito kajiunga juzi kadi yangu ni ya awali na najua zilivyokuwa mwanzo na hzi version ingine ambayo na zoto kapewa
Nita attach picha ya kadi ya zamani ambayo ni yangu na kadi ya sasa ambayo ni ya zito
 






Tatizo humu kumbe kuna watu ata ufahamu wa wanachojadili hawana;nimekujibu hapo juu tofauti ya POSHO YA KUJIKIMU na POSHO YA KIKAO, ni vitu viwili tofauti.

Zitto alichokataa ni POSHO YA VIKAO, maana yake pesa ya kulipwa mbunge kwa kuhudhuria vikao vya Bunge, yaani kuingia ndani ya Bunge mle, au kuingia kwenye vikao vya kamati za bunge.

POSHO YA KUJIKIMU(POSHO YA SAFARI), hii mfanyakazi/mbunge analipwa ili imuwezeshe kujikimu kwa malazi na chakula, usafiri n.k akisafiri nje ya kituo chake cha kazi, mfano hapo kwenda Rwanda.

Ndio maana hapo Zitto kasema posho za vikao.Naaminin umeelewa.
Hawa jamaa wa Bavicha wanataka Zitto alisafiri safari za kibunge atumie pesa zake.

Teh teh teh Bavicha bana.
 
Bado sipati majibu sahihi zzto kweli wewe nimzalendo?
Naunatetea sera za ujamaa? Kama hujui sarakasi usishiriki movei ya kichina watakuvunja mbavu.
Rudi kajipange upya sasa hv endelekucheza bongo move na kisimamii wasani tu.
 
Hawa jamaa wa Bavicha wanataka Zitto alisafiri safari za kibunge atumie pesa zake.

Teh teh teh Bavicha bana.

Haa ha ha hawa vijana matatizo kweli kweli.

Yaan wanataka Zitto atumie pesa zake kwenda kuliwakilisha bunge Rwanda lakini kwao wanaona sawa tu eti Mbowe na Joyce Mukya kwenda Dubai kuburudishana kimwili kwa pesa za Bunge.

Kati ya wanasiasa Tanzania wanajitahidi kutenda wanachosema ni Zitt😵na ata hili la posho ya vikao alibaki peke yake tu wakati wenzake waliokuwa wanapiga kelele sana kuwa pesa za kikao ni wizi mtupu lakini mpaka leo wanazichukua kama kawaida hizo pesa walizosema za wizi.

Mnyika yeye alijaribu kama mwezi mmoja hivi yakamshinda, kimyajimya akaanza kuchukua tena; Mbowe ndio aliita na waandishi wa habari kuwa hataki kutumia shangingi alilopewa, ni matumizi mabaya ya pesa za wananchi baada ya waandishi kuondoka kimyakimya akalifuata shangingi na analo mpaka leo.Kutembea kwenye maneno sio jambo rahisi.Kwa hili Zitto nampongeza sana.
 
Maelezo ya Zitto tarehe 11th January 2012 15:27

SOURCE:https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-hoteli-ya-kifahari-[zitto-kafafanua]-2.html

Wakati mwingine uongo na uzushi wa kipuuzi Kama huu ukiachwa kuna watakaoamini. Sio tu kujenga Hotel, sina hata kiwanja Dodoma. Sitegemei kuwa na kiwanja Dodoma wala kujenga Dodoma.

Nimezushiwa mengi sana

1. Nina nyumba Masaki

2. Nina 900m StanBic

3. Nina kiwanda cha kokotoNa mengine mengi sana.

Yote hayo sio ya kweli na kuna watu wanayaamini.

1. Sina biashara yeyote hapa Tanzania

2. Sina nyumba yeyote Dar. Nina shamba la Ekari tatu tu Mbutu na halijaendelezwa toka mwaka 2004.

3. Ninaishi flats za kupanga Tabata

4. Sina na wala sijwahi kuwa na tamaa ya utajiri katika maisha yangu. Property isn't my thing kabisa.JFMtu akileta accusations dhidi ya mtu mwingine tafadhali aje na ushahidi wa mfano picha ya nyumba, ushahidi wa umiliki ambao ni rahisi sana kupata CDA kwa DODOMA au Wizara ya Ardhi.

Tuache umbeya tuseme kweli. Sikatai Kusemwa kwa ya kweli. Ninajifunza sana kwa critics za ukweli. Lakini uzushi Kama huu unaumiza

Kila la kheri​


Invisible, Ben Saanane, Belo and 10 others like this.




SWALI

KAMA HUTAKI POSHO/ MAFAO UNAFANYA BIASHARA GANI MAANA MWAKA 2012 ULISEMA HUNA BIASHARA YOYOTE

KWA MAELEZO HAYO NI USHAHIDI TOSHA KUWA KUNA SEHEMU UNAPOKEA HELA AMBAZO HAZIKORECORDED(HELA ZA CCM)

Teh Teh bavicha mmezidiwa hoja mnarukia kila mada sasa hapo unataka ajibu nini?
 
Last edited by a moderator:
Naombeni tutafakari ni kwanini Mpendazoe hakupewa mafao yake ya ubunge wakati ule,Lakini Zitto anapewa?

Hili si jambo la kupuuza kwa ustawi wa Demokrasia yetu na sheria za nchi.

Ni vema tujadili kujua kama bunge letu lina upendeleo wa sheria au kanuni?

Tujiulize angekuwa Lissu Mnyika,Wenje au Mnyaa wangepewa?


*************** Majibu kutoka kwa Zitto ****************

Safi sana Mwami Zito,umejibu vizuri sana kwa kufuata maadili naamini watanzania wengi wameelewa kuwa una nia nzuri ya kutukomboa kupitia ACT.
 
Last edited by a moderator:
Cc Zitto njoo huku ujibu acha kuoga na tope!

Bavicha mna uwezo mdogo wa kufikiri hebu iangalie hiyo voucher mara mbili yana unshindwa kuona hiyo voucher haina sahihi na haija kamilika? Teh Teh Bavicha nani kawaroga? yani hiyo voucher fake ndio una shabikia? au huna macho?
 
Last edited by a moderator:
Naomba niweke sawa kidogo tu kuondoa upotoshaji wa makusudi. Kwanza mimi nasikia tu kwenye vyombo vya habari kuhusu suala la mafao. Halinisumbui. Nawakumbusha;


  1. Toka mwaka 2011 mwezi Juni niliacha kupokea posho za vikao. Kwa mwaka posho za vikao ni takribani shs 24 milioni.
  2. Wabunge hupewa msamaha wa kodi kwenye magari wanayonunua. Kwa kuwa napinga misamaha ya kodi nilikataa na mpaka namaliza ubunge sijatumia msamaha huo wa kodi.

Kwa hiyo suala la fedha sio suala la msingi kabisa kwangu kwenye maamuzi yangu.

Fact: Mpendazoe alilipwa kiinua mgongo chake kwa muda wa miezi aliyotumikia Bunge. Sio kweli kwamba hakupewa kiinua mgongo chake. Alipewa na tunaweza kuthibitisha

Meet a narcissist!

18 Signs You're Dealing With A Narcissist
 
Zito anaheshimika sana CCM hawawezi mnyima kiinua mgongo.Kafanya Kazi nzito ingawaje ilidunda lkn alijitahidi sema Chadema wanaakili sana wakamshtukia.
 
Zito anaheshimika sana CCM hawawezi mnyima kiinua mgongo.Kafanya Kazi nzito ingawaje ilidunda lkn alijitahidi sema Chadema wanaakili sana wakamshtukia.

Teh Teh naona baada ya hoja zenu zote kupanguliwa mmebaki kudandia kila hoja...hakika Bavicha ni mzigo kabisa..hata kusoma voucher kuna washinda Hahahaha Bavicha chaliiiii
 
Haa ha ha hawa vijana matatizo kweli kweli.

Yaan wanataka Zitto atumie pesa zake kwenda kuliwakilisha bunge Rwanda lakini kwao wanaona sawa tu eti Mbowe na Joyce Mukya kwenda Dubai kuburudishana kimwili kwa pesa za Bunge.

Kati ya wanasiasa Tanzania wanajitahidi kutenda wanachosema ni Zitt😵na ata hili la posho ya vikao alibaki peke yake tu wakati wenzake waliokuwa wanapiga kelele sana kuwa pesa za kikao ni wizi mtupu lakini mpaka leo wanazichukua kama kawaida hizo pesa walizosema za wizi.

Mnyika yeye alijaribu kama mwezi mmoja hivi yakamshinda, kimyajimya akaanza kuchukua tena; Mbowe ndio aliita na waandishi wa habari kuwa hataki kutumia shangingi alilopewa, ni matumizi mabaya ya pesa za wananchi baada ya waandishi kuondoka kimyakimya akalifuata shangingi na analo mpaka leo.Kutembea kwenye maneno sio jambo rahisi.Kwa hili Zitto nampongeza sana.
Je ni nani hasa anawasiliti wananchi?
ni zitto anaeongea na kutenda
Au ni mbowe na wenzake wanaoongea na kuyaacha hapo hapo
nadhani hili neno usaliti liangaliwe katika nyanja hyo maana hli ni kati ya wapiga kura na wapiga kura na sio viongozi na viongozi
 
Ukita kuiba au kuuza madawa ya kulevya jiunge ccm utapata pesa nyingi sana kuna baadhi ya watu huwa wanasema ukiunga mkono vyama vya upinzani utafunguliwa kesi nyingi za uongo utatumiwa tar na kadhalika je ni kweli?

lendila;
Sintakaa nisahau maneno aliyo yasema Mh. Sumahe Fredrick pale Moshi aliposema; namnukuu; Ukitaka mambo yako yakunyokee njoo ccm.
Kutokea wakati huo, nimeangalia biashara nyingi za ajab ajab, mlangoni pana bendera kuubwa ya ccm. Polisi, TRA hawapiti mlango huo. Mtaa mmoja bendera 10 sijui hao ni wajumbe wa mtaa au jiji.
Nakubaliana nawe mia kwa mia. Naunga mkono hoja.
 
Hivi Yale Magari ya Mh Mkono ulishayarudisha ndg zitto?
 
Teh Teh naona baada ya hoja zenu zote kupanguliwa mmebaki kudandia kila hoja...hakika Bavicha ni mzigo kabisa..hata kusoma voucher kuna washinda Hahahaha Bavicha chaliiiii

unasumbuliwa na jini mahaba? hebu mwulize Hugo zitto ni IPI hatima ya masalia? naona wengi wao wapo njia kuu ccm na yeye yupo mchepuko act
 
Hata Mimi kama ningekuwa beneficiary wa ESCROW, $$$ za Uswis, Vitalu vya Gas, Bahasha za Mashirika ya Umma BOT, NSSF, Mafungu ya CCM ya Kuihujumu CHADEMA via A/c Maalum za TISS... nisingehangaika na Posho 24M kwa Mwaka, Nisingehangaika na Misamaha ya Kodi kamwe!!! Bora uwe kimya maana unaharibu Zaidi .. BTW, Mkakati wa kupunguza kura za UKAWA via Association of Criminals in Tanzania unafikiri itakujenga ama kukubomoa Zaidi?

Naomba niweke sawa kidogo tu kuondoa upotoshaji wa makusudi. Kwanza mimi nasikia tu kwenye vyombo vya habari kuhusu suala la mafao. Halinisumbui. Nawakumbusha;


  1. Toka mwaka 2011 mwezi Juni niliacha kupokea posho za vikao. Kwa mwaka posho za vikao ni takribani shs 24 milioni.
  2. Wabunge hupewa msamaha wa kodi kwenye magari wanayonunua. Kwa kuwa napinga misamaha ya kodi nilikataa na mpaka namaliza ubunge sijatumia msamaha huo wa kodi.

Kwa hiyo suala la fedha sio suala la msingi kabisa kwangu kwenye maamuzi yangu.

Fact: Mpendazoe alilipwa kiinua mgongo chake kwa muda wa miezi aliyotumikia Bunge. Sio kweli kwamba hakupewa kiinua mgongo chake. Alipewa na tunaweza kuthibitisha
 
Back
Top Bottom