Kwanini Mpendazoe hakupewa mafao Zitto apewe?

Kwanini Mpendazoe hakupewa mafao Zitto apewe?

Naomba niweke sawa kidogo tu kuondoa upotoshaji wa makusudi. Kwanza mimi nasikia tu kwenye vyombo vya habari kuhusu suala la mafao. Halinisumbui. Nawakumbusha;


  1. Toka mwaka 2011 mwezi Juni niliacha kupokea posho za vikao. Kwa mwaka posho za vikao ni takribani shs 24 milioni.
  2. Wabunge hupewa msamaha wa kodi kwenye magari wanayonunua. Kwa kuwa napinga misamaha ya kodi nilikataa na mpaka namaliza ubunge sijatumia msamaha huo wa kodi.

Kwa hiyo suala la fedha sio suala la msingi kabisa kwangu kwenye maamuzi yangu.

Fact: Mpendazoe alilipwa kiinua mgongo chake kwa muda wa miezi aliyotumikia Bunge. Sio kweli kwamba hakupewa kiinua mgongo chake. Alipewa na tunaweza kuthibitisha

Hii hela uliyopokea ilikuwa ya nini

attachment.php
 
Mkuu namswali machache kwako!....ningependa kupata majibu....

1. Kwanini chama chako kinaungwa mkono na makada wengi wa CCM?..

2. Kwanini chama chako kina pambana na Chadema tu na sio CCM walio shika dola?

3 . kwanini watu walio kuzunguka na wenye kukunga mkono katika siasa zako hasa kwenye chama chako, Wana Watusi viongozi walio kulea kisiasa tena kwa dharau?...
Mfano...Msondo ambae ni mwanasheria wako.
Habibu mchange, na hawa wote ni makada wa Act!

Umeamua kumtimua Mkuu, hawezi Kurudi
 
Mkuu namswali machache kwako!....ningependa kupata majibu....

1. Kwanini chama chako kinaungwa mkono na makada wengi wa CCM?..

2. Kwanini chama chako kina pambana na Chadema tu na sio CCM walio shika dola?

3 . kwanini watu walio kuzunguka na wenye kukunga mkono katika siasa zako hasa kwenye chama chako, Wana Watusi viongozi walio kulea kisiasa tena kwa dharau?...
Mfano...Msondo ambae ni mwanasheria wako.
Habibu mchange, na hawa wote ni makada wa Act!

Mkuu haya si part ya mada fungua uzi mpya umuulize atakujibu
 
Hii hela uliyopokea ilikuwa ya nini

attachment.php

Haa ha ha Kweli mmepaniki.Yaan ata kusoma hujui?

Ngoja nikueleze, pesa ya kujikimu safarini ni pale unapotoka nje ya kituo chako cha kazi kwenda eneo lingine.

Mfano; Zitto kasafiri kama hapo juu kwenda nchini Rwanda, hivyo anatakiwa apewe au akatiwe tiketi ya kusafiri mpaka Rwanda na apewe pesa za kumuwezesha kula na kulala aliwa huko Rwanda kwq kiwango cha Bunge.Ndio pesa hizo zinaitwa pesa za kujikimu.


Walichopinga Chadema bungeni, Zitto akiwepo jambo wenzake wakamgeuka wakaendeelea kula hizo pesa, walichopinga ni pesa za makalio sitting allowance, yaan wabunge kituo chao cha kazi ni dodoma, alafu kuingia mle ndani bungeni tu wapewe posho ya kuingia na kukaa mle ndani au wabunge wanapewa pesa na bunge kwa ajili ya safari labda kukagua sehemu lets say Arusha, alafu wakifika kule lile shirika pia liwape pesa ya kikao.Ndicho Zitto aligoma kupokea na kwa miaka yote hii hajapokea.

Sasa ndugu yangu ulitaka Zitto aende safari ya kibunge Rwanda alafu atumie mshahara wake mpaka nje ya nchi kwa safari ya kibunge?duh..

Kwa taarifa tu, Mbowe na Joyce Mukya walichukua kama hiyo alafu safari yenyewe hawakwenda wakaenda Dubai kuburudishana.
 
Naomba niweke sawa kidogo tu kuondoa upotoshaji wa makusudi. Kwanza mimi nasikia tu kwenye vyombo vya habari kuhusu suala la mafao. Halinisumbui. Nawakumbusha;


  1. Toka mwaka 2011 mwezi Juni niliacha kupokea posho za vikao. Kwa mwaka posho za vikao ni takribani shs 24 milioni.
  2. Wabunge hupewa msamaha wa kodi kwenye magari wanayonunua. Kwa kuwa napinga misamaha ya kodi nilikataa na mpaka namaliza ubunge sijatumia msamaha huo wa kodi.

Kwa hiyo suala la fedha sio suala la msingi kabisa kwangu kwenye maamuzi yangu.

Fact: Mpendazoe alilipwa kiinua mgongo chake kwa muda wa miezi aliyotumikia Bunge. Sio kweli kwamba hakupewa kiinua mgongo chake. Alipewa na tunaweza kuthibitisha

Maelezo ya Zitto tarehe 11th January 2012 15:27

SOURCE:https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-hoteli-ya-kifahari-[zitto-kafafanua]-2.html

Wakati mwingine uongo na uzushi wa kipuuzi Kama huu ukiachwa kuna watakaoamini. Sio tu kujenga Hotel, sina hata kiwanja Dodoma. Sitegemei kuwa na kiwanja Dodoma wala kujenga Dodoma.

Nimezushiwa mengi sana

1. Nina nyumba Masaki

2. Nina 900m StanBic

3. Nina kiwanda cha kokotoNa mengine mengi sana.

Yote hayo sio ya kweli na kuna watu wanayaamini.

1. Sina biashara yeyote hapa Tanzania

2. Sina nyumba yeyote Dar. Nina shamba la Ekari tatu tu Mbutu na halijaendelezwa toka mwaka 2004.

3. Ninaishi flats za kupanga Tabata

4. Sina na wala sijwahi kuwa na tamaa ya utajiri katika maisha yangu. Property isn't my thing kabisa.JFMtu akileta accusations dhidi ya mtu mwingine tafadhali aje na ushahidi wa mfano picha ya nyumba, ushahidi wa umiliki ambao ni rahisi sana kupata CDA kwa DODOMA au Wizara ya Ardhi.

Tuache umbeya tuseme kweli. Sikatai Kusemwa kwa ya kweli. Ninajifunza sana kwa critics za ukweli. Lakini uzushi Kama huu unaumiza

Kila la kheri​


Invisible, Ben Saanane, Belo and 10 others like this.




SWALI

KAMA HUTAKI POSHO/ MAFAO UNAFANYA BIASHARA GANI MAANA MWAKA 2012 ULISEMA HUNA BIASHARA YOYOTE

KWA MAELEZO HAYO NI USHAHIDI TOSHA KUWA KUNA SEHEMU UNAPOKEA HELA AMBAZO HAZIKORECORDED(HELA ZA CCM)
 
Last edited by a moderator:
Hii ni voucher ya malipo na chini kuna sehemu ya kupokea ambayo Zitto alitakiwa kuweka saini yake kama mpokeaji na sehemu ya shahidi na lipaji. Mbona hakuna saini yake? mnamtafuta mtu hadi uvunguni na bado hampati jibu ama kweli...

KWANI hela wanapokea mkononi?
 
Cc Zitto njoo huku ujibu acha kuoga na tope!

Yaan wewe dogo kila kitu hujui?nimekwambia wewe ishia kusoma tu.

Haya soma nilichojibu hapo juu.Tatizo hamjui ata posho ya kujikimu ni nin na posho ya kikao ni nin?vitu viwili tofauti.Mnaishia kujivua nguo tu hapa.
 
Last edited by a moderator:
Hii ni voucher ya malipo na chini kuna sehemu ya kupokea ambayo Zitto alitakiwa kuweka saini yake kama mpokeaji na sehemu ya shahidi na mlipaji. Mbona hakuna saini zao? mnamtafuta mtu hadi uvunguni na bado hampati jibu ama kweli...

Kama umekuja kumsadia kumjibia Zitto naomba ujibu utofauti wa maelezo yake katika post 111
 
Last edited by a moderator:
Naomba niweke sawa kidogo tu kuondoa upotoshaji wa makusudi. Kwanza mimi nasikia tu kwenye vyombo vya habari kuhusu suala la mafao. Halinisumbui. Nawakumbusha;


  1. Toka mwaka 2011 mwezi Juni niliacha kupokea posho za vikao. Kwa mwaka posho za vikao ni takribani shs 24 milioni.
  2. Wabunge hupewa msamaha wa kodi kwenye magari wanayonunua. Kwa kuwa napinga misamaha ya kodi nilikataa na mpaka namaliza ubunge sijatumia msamaha huo wa kodi.

Kwa hiyo suala la fedha sio suala la msingi kabisa kwangu kwenye maamuzi yangu.

Fact: Mpendazoe alilipwa kiinua mgongo chake kwa muda wa miezi aliyotumikia Bunge. Sio kweli kwamba hakupewa kiinua mgongo chake. Alipewa na tunaweza kuthibitisha

Hii hela uliyopokea ilikuwa ya nini

attachment.php

Kama umekuja kumsadia kumjibia Zitto naomba ujibu utofauti wa maelezo yake katika post 111

Tatizo humu kumbe kuna watu ata ufahamu wa wanachojadili hawana;nimekujibu hapo juu tofauti ya POSHO YA KUJIKIMU na POSHO YA KIKAO, ni vitu viwili tofauti.

Zitto alichokataa ni POSHO YA VIKAO, maana yake pesa ya kulipwa mbunge kwa kuhudhuria vikao vya Bunge, yaani kuingia ndani ya Bunge mle, au kuingia kwenye vikao vya kamati za bunge.

POSHO YA KUJIKIMU(POSHO YA SAFARI), hii mfanyakazi/mbunge analipwa ili imuwezeshe kujikimu kwa malazi na chakula, usafiri n.k akisafiri nje ya kituo chake cha kazi, mfano hapo kwenda Rwanda.

Ndio maana hapo Zitto kasema posho za vikao.Naaminin umeelewa.
 
Back
Top Bottom